Nayo MbogaNaona umechakata matango mkuu
Mambo yenteeeeeKaribuni na hukuView attachment 1172487
Hahaaa, kila siku wanazaliwa watoto wakali zaidi, kweli utatuliaje hapoAiseeeeeeee mi nilishapata Uzoefu nikikuoa nitatulia
Anakutetea sana aisee, wakati anafahamu tabia zako nzuriUmenena kweli mkuu
Hao mimi sitakuwa ma muda nao kwa sababu l tayari nimeshapitia mama zao hivyo wao watakuwa kama wanangu tu nitawaheshimu.Hahaaa, kila siku wanazaliwa watoto wakali zaidi, kweli utatuliaje hapo,sikutaki zerooo
kuoa sio shida ya mpishi ni shida ya kuchakata papuchi.Mzee upo
Mzee upo vizuri sana,huna shida ya kuoa...
kuoa ni kuchakata papuchi jua hivyo kichwan kwakoWakaka mnapika vizuri hadi mnatuzidi dah ,hivi mtatuoa kwelii for what sasa,karibia kila kitu mnafanya wenyewe tu, sifa hizo
dah mpaka naziKaribuni na hukuView attachment 1172487
kuoa ni kuchakata papuchi jua hivyo kichwan kwako
njoo tusaidiane,lakini mbona unaweza kuchakata hata kama hujaoa zipo tu mbona, ila kuna zaidi ya papuchi ikiwa ni pamoja na kupika,kufua ,sasa nyie ndo mnajua kufanya kila kitu
Ha ha haWeee,sitaki kufa kwa presha Mimi, mume akitoka tu najua umeenda kuchakata mapapuchi mengine huko ,. mume kama zero IQ mmmh, yataka roho ngumuu
Nakudharau tena, kama ulioa kisa upikiwe you are dead.Wewe pia nimekudharau. Unawatetea watu wanaojipikia wakati madada zetu wamejaa mitaani
Kwani watu wanaoa ili wapate nini? Mbona wote waliooa wana michepuko? Halafu mtu akienda kuoa anasema ' nimekuja kutafuta jiko hasemi nimekuja kutafuta kitanda'Nakudharau tena, kama ulioa kisa upikiwe you are dead.
Duuuu mzee umetisha mnooKaribuni na hukuView attachment 1172487
Vile wanajionaga walemavu wakishaoa!!!!
KabisaaWeeee, hawa anaweza asifanye kabisa akioa,utaskia majukumu ya mke hayoo