Jikoni leo na Zero IQ

ZeroIQ nimeshakudharau. Yaani umri huo kazi unayo tena nzuri halafu bado huna jiko?
Ama abdallah kichwa wazi hafanyi gwaride?
Wewe pia nimekudharau. Yaani mtu mkubwa hivyo unadhani ukiwa na kazi lazima uwe umeoa au kila asiye na mke sababu kuu ni Abdallah kichwa wazi hayuko vizuri.
 
Wewe pia nimekudharau. Yaani mtu mkubwa hivyo unadhani ukiwa na kazi lazima uwe umeoa au kila asiye na mke sababu kuu ni Abdallah kichwa wazi hayuko vizuri.
Wewe pia nimekudharau. Unawatetea watu wanaojipikia wakati madada zetu wamejaa mitaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…