Maji safi na salama kwa wakazi wa Kanombe, jijini Kigali.
Mamlaka husika, ilionywa kwa tuhuma za kupoteza zaidi ya bilioni 7 za maji masafi, yaliyoandaliwa, yakaishia njiani bila kuwafikia watumiaji, na wenyewe mpaka sasa wanalalamika kudaiwa maji ambayo hata hayatoki, wanaishia kutafuta maji kwenye mabonde mbali mbali jijini humo.
Mamlaka husika, ilionywa kwa tuhuma za kupoteza zaidi ya bilioni 7 za maji masafi, yaliyoandaliwa, yakaishia njiani bila kuwafikia watumiaji, na wenyewe mpaka sasa wanalalamika kudaiwa maji ambayo hata hayatoki, wanaishia kutafuta maji kwenye mabonde mbali mbali jijini humo.