Jiji la Mwanza

mh? kuna sehemu inaitwa machinjioni wanajiuza bei chee tena huwezi wadhania na mchana ukiwatongoza wanachomoa pia...
 
mh? kuna sehemu inaitwa machinjioni wanajiuza bei chee tena huwezi wadhania na mchana ukiwatongoza wanachomoa pia...

Mkuu,unazungumzia Machinjioni ya Kule Kijeleshi?

Bei zao zikoje?
 
Mwanza ndio kila kitu, karibu tena jijini kwetu
Siku hizi barabara zinasafishwa usiku, asbh barabara zote safi
 
arusha majungu,vurugu,maandamano.bangi,umalaya,mji mchafu,kamji kadogo,ujambazi,mfumuko wa bei,hakuna mji wa hovyo kama arusha hapa duniani.

Pole sana...Hiyo ni Arusha ya mwaka jana....Kwasasa Arusha ni Ulaya ya Tz..
 
Masikini inaelekea huijui Arusha wewe....Karibu Arusha uone the true maginificent ya mji.......Huu mji ni Ulaya ya Tz..

arusha ipi wewe? Wakabaji, majambazi, wavuta unga, bangi, huko ndiko majambazi sugu wa tanzania walipo, R.I.P Nyokaa
 
ulifika pale villa park mida ya jioni ukaona kina dada poa wanavyouza pupu???
 
Mwanza ndio kila kitu, karibu tena jijini kwetu
Siku hizi barabara zinasafishwa usiku, asbh barabara zote safi
Ningeshangaa iwapo usinge comment kwenye hii thread! Teh teh teh
 
"7. STAREHE. mimi si mtu mtu wa viwanja sana,nikifikia hotelini tofauti na mishe mishe zangu mda wote nimelala".
Sasa hayo mambo umebainimuda ngapi wakati unasema wewe huna mishe mishe na muda wote unalala hotelini?
 
"7. STAREHE. mimi si mtu mtu wa viwanja sana,nikifikia hotelini tofauti na mishe mishe zangu mda wote nimelala".
Sasa hayo mambo umebainimuda ngapi wakati unasema wewe huna mishe mishe na muda wote unalala hotelini?

hayo mengne yanafanyika,ila mda wa kwenda club sjui vila park sjui nn ndo huwa sina.
 
arusha ipi wewe? Wakabaji, majambazi, wavuta unga, bangi, huko ndiko majambazi sugu wa tanzania walipo, R.I.P Nyokaa

Naongelea uzuri wa Mji....Hayo uliyoyataja yapo kila mahali hata huko Mwanza....

Karibu Arusha...
 
Starehe: Villa, Tunza Resort, New Mwanza Hotel,,,,kwa siku chache nilizowahi kuishi mwanza ndo vilikua viwanja vyangu ingawa kuna wadau wameniambia umetembelea viwanja common sana kasoro hicho tuu cha TUNZA RESORT....
 
Umesahau kuhusu misoc nilikula samaki mkubwa hatari pale villa kwa 12,000/- ....Palm beach hotel nilijaribu kuagiza, ile kuuliza bei tu nikaambiwa 30,000/- nikagairi...
 
Mwanza ni mji uliotulia, hauna vurugu za kijinga na wahuni wasio na kazi, pamoja na hali ya hewa maridhawa, upepo mzuri wa ziwa, rangi ya kijani, msongamano mdogo kusema kweli ni mji ideal kwa watu watulivu! Hakuna mji unaokosa "uswahilini", hata mwanza ukienda igogo huko milimani, mabatini, baadhi ya maeneo ya butimba kuna mitaa ambayo inaudhi, watu wanatofautiana vipato hivyo ni kawaida kuwa na maisha ya utofauti katika mji. Muda mrefu kidogo sijafika Mwanza lakini kule sehemu za starehe si nyingi sana, hakuna mitaa yenye mabar kila kona, night clubs sidhani kama zinazidi mbili, i really miss mwanza; asubuhi supu ya samaki, mchana ugali samaki choma, jioni wali samaki...daaah..samaki samaki! Mwanza, mji ambao napenda kutulia nitakaporetire na michakato ya dunia, mishe zangu zikiwa zinajiendesha zenyewe na mifereji ya pesa ikimwagika pomoni, hapo nitarudi mwanza, nitanunua kisiwa na kusubiri kifo kwa amani zote...lol!

 
Starehe: Villa, Tunza Resort, New Mwanza Hotel,,,,kwa siku chache nilizowahi kuishi mwanza ndo vilikua viwanja vyangu ingawa kuna wadau wameniambia umetembelea viwanja common sana kasoro hicho tuu cha TUNZA RESORT....

Mwanza Hotel hakuna starehe bana, hiyo ni sehem ya kulala!!
 
bado huijui Mwanza vizuri ndugu yangu,rudia research yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…