instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 11,383
- 14,189
AyeeeeKwa washamba wavaa shanga huko nani aweke makao makuu ya EAC? watu wengi kama zizini lakini maskini watupu ndo kuwe makao makuu? Mji umepauka uko na mandhari ya hovyo hivyo na maskini wamerundikana kwenye vilima vyenu vinatia kinyaa tuu
Baada ya kupigwa chini na Arusha na Dom saizi kisingizio ni eti serikali,mbona kuna miradi mingi sana ya serikali huko hamsemi?
MwanzaView attachment 1497661