Mbeya ni mji wa kipuuz kama alivyosema mtoa mada. wao wanapenda sifa za kijinga tu lakini opportunities zipo ukizingatia upo njia panda ya MALAWI, ZAMBIA/ZIMBABWE/CONGO DR lakin kinachoiangusha mbeya ni UCHAWI narudia tena UCHAWI halafu ukiwakuta jumapili wanajazana makanisani utafikiri kweli wacha Mungu kumbe sanaa tu.
Ukiwa nje ya Dar majiji ni Arusha na Mwanza tu.................Arusha na Mwanza hutoboreka.....kumechangamka......sehemu classic na kisasa kutembelea zipo kibao.....si mji unaitwa jiji unaomba kupelekwa hotel 1st class unapelekwa hotel za Temeke stereo nafuu..........:der:
kama mnaona wamelala kwanini msiitumie hiyo fursa kufungua HOTEL NA PUB za hadhi muitakayo?
Kama vp mtuache watu wa mbeya ,tumeridhika na mji wetu
uliyesema sisi wachawi , ni UCHAWI gani unaozungumzia hapa?..maana unafki kama wa mtoa thread nao ni UCHAWI pia!
Karibuni MBEYA muwekeze, ili iwe vile mnavyoiwazia
Mkuu lakini si unajua Jiji lazima linakuwa na Hadhi fulani...??
Tanga na Dodoma imepangika vizuri sanaMwanza gani unayoisema? hata Arusha ninayojua! Ndiyo maana tunadharauliwa na nchi za jirani! hivi ni wapi Tanzania hii ambapo mtu anaweza kuwacheka sehemu nyingin ya Tz,hebu acheni kuleta ujinga wenu hapa.
Tanga na Dodoma imepangika vizuri sana
Kwenu Bukoba ni jiji kuliko Mbeya eti
Kaka nimesoma post yako nikisubiri uniambie, ulikabwa, ulikutana na hirizi zimetupwa, mabinti wavaa nusu uchi, mayai viza njia ya panda, ujambazi, gharama za maisha, ulipishana na manyau nyau anasaka wachawi, vibao vya waganga kila baada ya hatua moja....... Unataka mbeya wafyeke misitu kama hapa dar?
......... sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwepa fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua) ............................
Mimi nafikiri Arusha inajulikana kimataifa zaidi ya Miji yote Tanzania....DAhh...ninabahati kuzaliwa Arusha..
ukisikia jiji la mbeya utafikiri bonge la jiji kumbe upuuzi mtupu. sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwepa fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua) nikafika hoteli ambayo ndio wanaisifia ni classic (Mbeya hotel) duuh ni kama nyumba ya makumbusho nikamuambia dereva nipeleke nyingine tukaenda Paradise Hotel (nayo ya kipuuzi pia) nikaenda nyingine (GR City) daah ndo nikajua kumbe zile sifa za wanyakyusa hapo Dar kwao hamna lolote sasa sehemu ya kula ndo ishu yaani labda uende CITY PUB hakuna sehemu nzuri ya kupata varieties. Poor Mbeya inastahili kuitwa KIJIJI CHA MBEYA si JIJI LA MBEYA mmekalia UCHAWI tu.