Tetesi: Jiji la Dar kutanuliwa

Wazo zuri.
 
Hakika.Lakini pia Mtwara kunahitajika kuwe na Reli itakayosaidi kusafirisha mizigo kutoka bandarini mpaka kwa walaji.
 
Mimi binafsi napendekeza Pwani yote iungane na Dar halafu irudishiwe jina la Mzizima, na wilaya ya Ilala ibadilishwe jina iitwe wilaya ya Sinza na ikave hadi Mbezi Mwisho kisha wilaya ya Ubungo ifutwe, yani kifupi wilaya za Mzizima ziwe Sinza, Kinondoni, Kigamboni, Bagamoyo, Kisarawe, Chalinze na Mkuranga, wilaya za Rufiji na Kibiti zifutwe na wilaya ya Mafia ihamishiwe Lindi hapo ndio itapendeza
 
Kwa mantiki hiyo unataka kuwaondoa baadhi ya wakazi walio lundikana pale Samara, Kariako, Manzese, Mbagara n.k uwapeleke Mkata, Manarumango na Mdaula? Mji unajiganga wenyewe kutokana na Uongozi uliopo mafarakani kutii taratubu, kanuni na Sheria zinazo endesha Mji ama Jiji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…