WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 8,267
- 7,851
Kwa hiyo inabidi Mkoa wa Pwani au Dar es Salaam mmojawapo ufe ili kubalance mambo.1. Katika kuhimiza uwekezaji jiji la Dar es Salaam kutanuliwa kujumuisha wilaya za Mkuranga, Kibaha, Bagamoyo na Kisarawe.
2. Pia, uwanja wa ndege wa kimataifa na bandari kujengwa Bagamoyo.
Wazo zuri.Upanuzi wa mkoa na jiji la Dar es salaam uende sambamba na;
1. Kupima makazi yote ambayo hayajapimwa.
Maeneo mengi ya Dar es salaam ni squatters
2. Tuondoe viwanda mjini tukaviweke nje kabisa ya mji.
Eneo lote la chang'ombe, Vingunguti na Kipawa litumike kwa shughuli nyingine.
Nadhani ingefaa kutenga wilaya nzima ya Mkuranga au Kisarawe kuwa eneo la viwanda.
Hakika.Lakini pia Mtwara kunahitajika kuwe na Reli itakayosaidi kusafirisha mizigo kutoka bandarini mpaka kwa walaji.Dodoma ndo baaas tena.
Mi nilidhani watafikiria kuibadili Mtwara ndo liwe lango la kibiashara ili kupunguza watu kuendelea kurundikana Dar.
Mana sasa hv Mlugaluga anaplan kuhamia Dar. Mikoani kwao hakuendelezwi tena.
Wangeimarisha bandari ya Mtwara na uwanja wa ndege.
Kupanua = ExpandNeno sahihi ni kupanuliwa SIO kutanuliwa.
Neno sahihi ni kupanuliwa SIO kutanuliwa.
Akamuuliza mama lishe aliyekuwa karibu naye,Kwa hiyo wewe unataka kupanuliwa? Huku mikono kakiitanua.Yule mama lishe akaitika" eee babaaa" wote wakaangua vicheko.Neno sahihi ni kupanuliwa SIO kutanuliwa.
Kuuawa kwa mkoa wa pwani rasmi1. Katika kuhimiza uwekezaji jiji la Dar es Salaam kutanuliwa kujumuisha wilaya za Mkuranga, Kibaha, Bagamoyo na Kisarawe.
2. Pia, uwanja wa ndege wa kimataifa na bandari kujengwa Bagamoyo.
Umaskini ni kilema, SS tz itakuwa na vilema wangapi ?Kwa hiyo umasikini unahusikaje na Uisilamu?
Umasikini ni kilema ambacho hakichagui dini.
80% na ulemavu huu ni genetically oriented.Umaskini ni kilema, SS tz itakuwa na vilema wangapi ?
Acha kuharibu jina la mwamba.Prof Kalamaganda atakua kutupa historian ya neno Dar es Salaam mwaka elfu moja Mia KENDA
Mkuu hata barabara, za Mbezi kwenda Mpigi Magoe na Msu.ni ni mbovu heri za Chato. Ebu stawisheni Dar es Salaam kwanza kabla ya kurukia sehemu zingine.Tuapanua jiji, lkn tumesahau kupunguza umaskini. Jiji gani hili ambalo watu wanaishi kwenye makazi duni na internet inakatwa na mzungu ?
Kwa mantiki hiyo unataka kuwaondoa baadhi ya wakazi walio lundikana pale Samara, Kariako, Manzese, Mbagara n.k uwapeleke Mkata, Manarumango na Mdaula? Mji unajiganga wenyewe kutokana na Uongozi uliopo mafarakani kutii taratubu, kanuni na Sheria zinazo endesha Mji ama Jiji.Jiji la Dar ni dogo mno, watu wamebanana hapo katikati hata hewa safi hakuna wala mpango mji.
Ilitakiwa Pwani nzima iwe ndani ya Dar.
Ona majiji ya wenzetu kama Nairobi, Lagos etc yalivyo makubwa, ndo mana hatuwezi kuyafikia kimaendeleo.
walimbukeni wanakwambia Dar kubwa, "panda helcopter uone kama hauzunguki Dar nzima ndani ya dakika 20" 😀
Mtu ndio ANAPANULIWA kitu KINATANULIWANeno sahihi ni kupanuliwa SIO kutanuliwa.