Jihadharini na dawa za kuongeza nguvu

Jihadharini na dawa za kuongeza nguvu

Mugabe one

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2016
Posts
2,327
Reaction score
1,684
Wanajf nawatupia huu Uzi kama kutoa tahadhari kwa wale wanaopenda kutumia dawa kwa ajiri ya kuongeza nguvu.

Leo kuna KIJANA mmoja nimemuona KUPITIA EMMANUEL TV dushe lake lilishasimama Siku nyingi (permanent erection)bila kusinyaa. Kumbe dushe likisimama muda mrefu bila kulegea huleta kilio bila aibu maana Dogo alichanganyikiwa, baada ya kuombewa akapelekwa chooni baadaye akarudi na kukojolea hekaluni hadharani bila aibu.

NAWASHAURI KUPITIA HUMU MSITUMIE HIZO DAWA ZA KUONGEZA NGUVU BILA USHAURI WA DAKITARI ALIYESOMEA MAMBO HAYO.
Nawasalisha:
 
Vijana Wa siku hiz MNA uchu uliokithiri ....wengine wanatumia dawa hiz huku hawana hata tatizo ,,,nia tu wamkomoe msichana..matokeo yake ndo aibu hii sasa
 
Wanajf nawatupia huu Uzi kama kutoa tahadhari kwa wale wanaopenda kutumia dawa kwa ajiri ya kuongeza nguvu.
Leo kuna KIJANA mmoja nimemuona KUPITIA EMMANUEL TV dushe lake lilishasimama Siku nyingi (permanent erection)bila kusinyaa. Kumbe dushe likisimama muda mrefu bila kulegea huleta kilio bila aibu maana Dogo alichanganyikiwa, baada ya kuombewa akapelekwa chooni baadaye akarudi na kukojolea hekaluni hadharani bila aibu.
NAWASHAURI KUPITIA HUMU MSITUMIE HIZO DAWA ZA KUONGEZA NGUVU BILA USHAURI WA DAKITARI ALIYESOMEA MAMBO HAYO.
Nawasalisha:
Usipende kuamini sana kila unachokiona ktk mitandao.
 
Stori tu, hakuwahi kuwa na erection kwa muda wote huo. Kitaalamu haiwezekani
Kwanini isiwezekane? Check marudio ya kipindi recorded kama utakibahatisha maana live ilikuwa Leo Emmanuel TV
 
kitu Mungu amenijalia ni uume mkubwa na natural erection. Bora uwe maskini kuliko kutodindisha. Bashiteee imekula kwako
 
kitu Mungu amenijalia ni uume mkubwa na natural erection. Bora uwe maskini kuliko kutodindisha. Bashiteee imekula kwako
nasikia eti sie wenye uume mkubwa na korodani tuna uwezo mdogo wa kiakili,sijawahi kupata chemsha bongo darasani
 
Mkiambiwa acha nen na Viagra hamtak
 
Wanajf nawatupia huu Uzi kama kutoa tahadhari kwa wale wanaopenda kutumia dawa kwa ajiri ya kuongeza nguvu.
Leo kuna KIJANA mmoja nimemuona KUPITIA EMMANUEL TV dushe lake lilishasimama Siku nyingi (permanent erection)bila kusinyaa. Kumbe dushe likisimama muda mrefu bila kulegea huleta kilio bila aibu maana Dogo alichanganyikiwa, baada ya kuombewa akapelekwa chooni baadaye akarudi na kukojolea hekaluni hadharani bila aibu.
NAWASHAURI KUPITIA HUMU MSITUMIE HIZO DAWA ZA KUONGEZA NGUVU BILA USHAURI WA DAKITARI ALIYESOMEA MAMBO HAYO.
Nawasalisha:
Kuna moja ya kumuongezea utamu mwanamke, ni hatari sana! Mechi ya dk 10 anakojoa zaidi ya mara tatu, anaweweseka mpaka unamhurumia, eti anasikia utamu kisogoni, kwenye unyayo, kwenye chuchu n.k tatizo mechi haitakiwi kuzidi nusu saa, ukizidisha anaweza hata kupoteza fahamu kwa kuzidiwa na utamu
 
Back
Top Bottom