Jihadhari na simu za Android Lolipop second hand

Kang

JF-Expert Member
Jun 24, 2008
5,495
2,251
Android L inakuja na antitheft protection ambayo inakulazimu kuingoza Account/Password ya google iliyokuwa ikitumika kwenye simu hata ukifanya reset ya simu. So inabidi uifanye reset mbele ya anayekuuzia na kama ikileta tatizo aweke password yake kuifungua.
 
Kang unataka kusema hata simu zilizokuwa updated pia zina hii option?
 
Last edited by a moderator:
Dah! Ni kweli nimekutana nayo hiyo hali, nimereset system kupitia recovary simu kuwaka inanidai mail account kuwega gmail inanidai na Samsung account. Kibaya zadi simu inakuwa haina net so lazima uwe nauwezo wa kupata wireless kuiactive.
 
Android L inakuja na antitheft protection ambayo inakulazimu kuingoza Account/Password ya google iliyokuwa ikitumika kwenye simu hata ukifanya reset ya simu. So inabidi uifanye reset mbele ya anayekuuzia na kama ikileta tatizo aweke password yake kuifungua.

hata uki flash?
 
hata uki flash?
Sidhani kama inawezekana kuflash ikiwa katika hali hii kwa kuwa bootloader inakuwa iko locked. Hii inaelekea ni kama iCloud lock ya iPhone haifutiki mpaka uingie na Google account ya hiyo simu. Nadhani ni simu za Nexus tu zina hii kitu hadi sasa, Samsung wana version yao lakini hiyo ni mpaka uiwashe mwenyewe, ya Google ipo on by default as soon as umeweka Google account na screenlock.
 
Sidhani kama inawezekana kuflash ikiwa katika hali hii kwa kuwa bootloader inakuwa iko locked. Hii inaelekea ni kama iCloud lock ya iPhone haifutiki mpaka uingie na Google account ya hiyo simu. Nadhani ni simu za Nexus tu zina hii kitu hadi sasa, Samsung wana version yao lakini hiyo ni mpaka uiwashe mwenyewe, ya Google ipo on by default as soon as umeweka Google account na screenlock.
Natumia Galaxy A5 nimekutana hali hiyo! Unaweza kifalash kwavile simu inakubali kukaa download mode, tatizo linakuja ku active simu. Hata Iphone unaweza kuflash new ios hatakama icloud ipo on ila shida inakuja ku active simu ndio icloud inakuja kukushika
 
Back
Top Bottom