M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
- Thread starter
- #21
Sioni ajabu ya hicho mtoa mada anachosema. Kushikwa au kutomaswa ni ishu ya kawaida. Ajabu ni huyo mteja
Noted Kingi, pamoja na kwamba huyo mteja inaonekana alikuwa dhaifu sana, cha kujiuliza ni kwamba ni nini lengo la yule binti kumtomasa yule jamaa kimahaba mamna ile, scrub inahusianaje na kutekenywa masikio kama sio visa tu vya huyo mdada.