M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
Jana jioni nilienda kwenye Barber Shop moja pale mitaa ya Sinza kwa lengo la kupata huduma ya hair cut, hapo nikakutana na kisa hiki..
Wakati mimi naendelea kunyolewa pembeni yangu alikuwa amekaa jamaa mmoja akifanyiwa scrubbing na mrembo mmoja muhudumu wa saluni ile, kwakuwa alikuwa pembemi yangu kidogo tu nilisikia mazungumzo yote ya yule dada na yule jamaa, nikasikia jamaa akianza kutupa ndoano kwa yule binti, mara nikasikia akiomba namba ya simu, sikuelewa lengo la yule binti lakini mambo aliyokuwa akimfanyia yule jamaa ndio yaliniacha hoi maana mara amtekenye masikioni, mara hivi mara vile, nikaanza kuona yule bwana akihangaisha miguu yake, mara ainyooshe, mara itake kukunja nne, wakati yule mrembo akiendelea na utundu wake mara nikamwona yule jamaa akijikakamua kama vile anasikilizia raha fulani hivi huku akitoa miguno ya mahaba, kumbe jamaa alikuwa anaharibu kwenye suruali.,yule binti akahamaki kwa mshangao na yule bwana kwa aibu akakatisha zoezi la scrub akalipa na kuondoka zake huku akiacha kicheko na gumzo nyuma..
Waungwana kwa kweli kama mtu anajijua hawezi kuhimili mihemko yake basi ni vyema akawepa huduma ya wale warembo wa kwenye saluni za kiume, watakuaibisha.
Wakati mimi naendelea kunyolewa pembeni yangu alikuwa amekaa jamaa mmoja akifanyiwa scrubbing na mrembo mmoja muhudumu wa saluni ile, kwakuwa alikuwa pembemi yangu kidogo tu nilisikia mazungumzo yote ya yule dada na yule jamaa, nikasikia jamaa akianza kutupa ndoano kwa yule binti, mara nikasikia akiomba namba ya simu, sikuelewa lengo la yule binti lakini mambo aliyokuwa akimfanyia yule jamaa ndio yaliniacha hoi maana mara amtekenye masikioni, mara hivi mara vile, nikaanza kuona yule bwana akihangaisha miguu yake, mara ainyooshe, mara itake kukunja nne, wakati yule mrembo akiendelea na utundu wake mara nikamwona yule jamaa akijikakamua kama vile anasikilizia raha fulani hivi huku akitoa miguno ya mahaba, kumbe jamaa alikuwa anaharibu kwenye suruali.,yule binti akahamaki kwa mshangao na yule bwana kwa aibu akakatisha zoezi la scrub akalipa na kuondoka zake huku akiacha kicheko na gumzo nyuma..
Waungwana kwa kweli kama mtu anajijua hawezi kuhimili mihemko yake basi ni vyema akawepa huduma ya wale warembo wa kwenye saluni za kiume, watakuaibisha.