Avriel
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 4,947
- 5,342
Mkorea weweeeeMkemia mkuu katika ubora wako
Mkorea weweeeeMkemia mkuu katika ubora wako
Mkemia amekutana na mwanafunzi Wa kemia...Toa ufafanuzi hapa kwenye hivi vipengele:
1. HCl iwe na conc asilimia ngapi?
2. Ni perfume gani hapa unayotaja, fragrant oil extracts zile za perfume au ni katika form ipi?
3. Rangi zipi hapa, zile za vyakula, nyumba, magari ama?
SawaNimeshaweka wazi
Habari za jumapili wapendwa,
Yna2 Leo nimewaletea somo la kujifunza namna ya kutengeneza dawa ya kusafishia marumaru.
MAHITAJI
-hydrochloric acid Lita 10- kazi yake kuondoa uchafu sugu ulio kwenye marumaru
-maji lita30
-sless au sabuni ya maji lita1-kuleta povu kwenye dawa yetu
-perfume vijiko 6 vya chakula- kuleta manukato kwenye dawa yetu
-pipa au ndoo
-rangi ukipenda vijiko 2 vya chakula
-usisahau gloves..mask ya pua..buti
JINSI YA KUTENGENEZA
Andaa mazingira yako yawe masafi. Tayarisha pipa au ndoo/beseni yako. Anza kuweka maji lita30, ikifuatiwa na hydrochloric acid Lita 10, ikifuatiwa na sless au sabuni ya maji lita1, perfume na rangi kisha koroga kwa dakika 15.
Dawa yetu itakua tayari
Nimemaliza.
Hata sijui nakusaidia vipi mpendwa wangu
Hata sijui nakusaidia vipi mpendwa wangu
Na “ BUTI “ , pia hajasema ni aina gani la mgambo,gum au kama lile wanalovaa wapiga deki mahospitaliniToa ufafanuzi hapa kwenye hivi vipengele:
1. HCl iwe na conc asilimia ngapi?
2. Ni perfume gani hapa unayotaja, fragrant oil extracts zile za perfume au ni katika form ipi?
3. Rangi zipi hapa, zile za vyakula, nyumba, magari ama?
Hata sijui nakusaidia vipi mpendwa wangu
Hata sijui nakusaidia vipi mpendwa wangu
Kweli muhimu sana mtu anaweza akachukua acid yenye 98% concentration akatengeneza moto nyumbani watu wakamshangaa,kumbe ni kwa vile maelekezo aliyopewa hayakuwa complete.Naam haya ndio maneno yna2...
Maana hii michanganyiko ya kemikali hukawii kutengeneza compound isiyo na jina