BenElohimy
Senior Member
- Sep 21, 2021
- 181
- 222
Kaka uliye na mpenzi wako usimwone hajiheshimu kila unapomwambia mkajaamiane wala hakukatalii ukaanza kumwazia kwamba yeye ni kahaba.
Yeye amekupenda na anaamini anajiamina na mtu salama kwake wala hakuwazii mabaya. Kumbuka unapomwona kahaba wakati yeye anatii kile ambacho umemwomba je wewe unayeomba penzi kila siku akuite nani?
Jifunze kumheshimu yule uliye naye, lipa gharama kwa ajili yake, unajua nini yeye anaona ni heri aendelee funga ndoa na wewe kuliko kuwa na ndoa nyingi nyingi.
Kitendo cha mwanamke na mwanaume kukutana kimwili hiyo ndoa nyingine, kwa hiyo anapojamiana na wewe pale unapomwambia unahitaji kujamiana usimwone kama hafai lakini jua ameamua kuwa na ndoa moja.
Jifunze kumweshimu yule ambaye anatambua thamani yako kwake kwamba wewe ni wa thamani. Mpende sana, wanawake wameumbwa kuambiwa. Msifie, mshauri, muonye maonyo yenye hrkima ndani yake, usimdharau, kwani usipofanya hivo, shetani aweza kuingilia kati.
Lengo la kumfata mwanamke na kumtongoza ni kwamba unataka kuanzisha naye safari ya maisha, lakini hiyo safsri haikosi kasumba lazima zitamuwepo tuu lakini mwombe sana Mungu akusaidiee
Siyo kila mwanamke unayekutana naye atakufanya ufanikiwe, wengine ukikutana nao, biashara hufa, wengine hata kupata kazi ni ngumu, wengine hata kuzidi kumjua Mungu kunaondoka, unakuwa mtu wa mikosi tupu.
Nakutakia Alhamisi njemaaaa
Yeye amekupenda na anaamini anajiamina na mtu salama kwake wala hakuwazii mabaya. Kumbuka unapomwona kahaba wakati yeye anatii kile ambacho umemwomba je wewe unayeomba penzi kila siku akuite nani?
Jifunze kumheshimu yule uliye naye, lipa gharama kwa ajili yake, unajua nini yeye anaona ni heri aendelee funga ndoa na wewe kuliko kuwa na ndoa nyingi nyingi.
Kitendo cha mwanamke na mwanaume kukutana kimwili hiyo ndoa nyingine, kwa hiyo anapojamiana na wewe pale unapomwambia unahitaji kujamiana usimwone kama hafai lakini jua ameamua kuwa na ndoa moja.
Jifunze kumweshimu yule ambaye anatambua thamani yako kwake kwamba wewe ni wa thamani. Mpende sana, wanawake wameumbwa kuambiwa. Msifie, mshauri, muonye maonyo yenye hrkima ndani yake, usimdharau, kwani usipofanya hivo, shetani aweza kuingilia kati.
Lengo la kumfata mwanamke na kumtongoza ni kwamba unataka kuanzisha naye safari ya maisha, lakini hiyo safsri haikosi kasumba lazima zitamuwepo tuu lakini mwombe sana Mungu akusaidiee
Siyo kila mwanamke unayekutana naye atakufanya ufanikiwe, wengine ukikutana nao, biashara hufa, wengine hata kupata kazi ni ngumu, wengine hata kuzidi kumjua Mungu kunaondoka, unakuwa mtu wa mikosi tupu.
Nakutakia Alhamisi njemaaaa