mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,652
- 1,238
Karibu sana wee ni PM tuu!!mchajikobe yule niliyeamini ni rafiki yangu niliekuwa nikilia nae analia nikiumwa nae anaumwa kumbe anapretend sitaki tena
labda baadae sana au wewe uwe rafiki yangu ama nipate kibibi cha 50-70 years nikipende kinipende nikitunze na kukieheshimu hahaha