Jifunze Communication Skills

Naja naja

JF-Expert Member
Sep 13, 2016
747
1,452
Kwenye maisha ya sasa jambo la muhimu la kujifunza ni kuwa na communication skills, skills za kuweza ku interact na kila mtu kwa kuzingatia mapungufu yake na namna ya kuishi naye.

Maisha ya sasa asilimia kubwa ya watu wanapenda sana kubembelezwa na kunyenyekewa sana hivyo huna budi kuishi hivyo ili mambo yako yaende hata kama umewazidi elimu kiasi gani as long as wana kitu muhimu wanachoweza kukupush basi wewe nyenyekea tu na jifunze kuishi nao na Ku interact nao.

Jifunze kuwa na communication skills za kuweza kuzungumza na kila rika iwe wazee, watoto vijana na kadhalika mambo yako yatanyooka sana maana kila mtu kwenye jamii yako atakupenda na upendo wa watu ndio mwanzo wa mafanikio ya kimaisha.
 
Kwenye maisha ya sasa jambo la muhimu la kujifunza ni kuwa na communication skills, skills za kuweza ku interact na kila mtu kwa kuzingatia mapungufu yake na namna ya kuishi naye.

Maisha ya sasa asilimia kubwa ya watu wanapenda sana kubembelezwa na kunyenyekewa sana hivyo huna budi kuishi hivyo ili mambo yako yaende hata kama umewazidi elimu kiasi gani as long as wana kitu muhimu wanachoweza kukupush basi wewe nyenyekea tu na jifunze kuishi nao na Ku interact nao.

Jifunze kuwa na communication skills za kuweza kuzungumza na kila rika iwe wazee, watoto vijana na kadhalika mambo yako yatanyooka sana maana kila mtu kwenye jamii yako atakupenda na upendo wa watu ndio mwanzo wa mafanikio ya kimaisha.
Siyo maana ya Communication Skills kuwa uishi kwa kunyenyekea. Inakusaidia kufahamu nini cha kusema,kwa nani na wakati gani. Inakusaidia kuchagua maneno sahihi but si kwamba CS Inakufanya uwe mnafiki na kunyenyekea watu.

Inakufanya uwe tu ni mtu ambaye una utulivu wa mawasiliano kwa kila mtu kwa kadiri ya umri wake,elimu yake,utamaduni wake n.k
 
Kwenye maisha ya sasa jambo la muhimu la kujifunza ni kuwa na communication skills, skills za kuweza ku interact na kila mtu kwa kuzingatia mapungufu yake na namna ya kuishi naye.

Maisha ya sasa asilimia kubwa ya watu wanapenda sana kubembelezwa na kunyenyekewa sana hivyo huna budi kuishi hivyo ili mambo yako yaende hata kama umewazidi elimu kiasi gani as long as wana kitu muhimu wanachoweza kukupush basi wewe nyenyekea tu na jifunze kuishi nao na Ku interact nao.

Jifunze kuwa na communication skills za kuweza kuzungumza na kila rika iwe wazee, watoto vijana na kadhalika mambo yako yatanyooka sana maana kila mtu kwenye jamii yako atakupenda na upendo wa watu ndio mwanzo wa mafanikio ya kimaisha.
Hii kwa kweli ni maana mpya ya communication skills, SMH!
 
Kwenye maisha ya sasa jambo la muhimu la kujifunza ni kuwa na communication skills, skills za kuweza ku interact na kila mtu kwa kuzingatia mapungufu yake na namna ya kuishi naye.

Maisha ya sasa asilimia kubwa ya watu wanapenda sana kubembelezwa na kunyenyekewa sana hivyo huna budi kuishi hivyo ili mambo yako yaende hata kama umewazidi elimu kiasi gani as long as wana kitu muhimu wanachoweza kukupush basi wewe nyenyekea tu na jifunze kuishi nao na Ku interact nao.

Jifunze kuwa na communication skills za kuweza kuzungumza na kila rika iwe wazee, watoto vijana na kadhalika mambo yako yatanyooka sana maana kila mtu kwenye jamii yako atakupenda na upendo wa watu ndio mwanzo wa mafanikio ya kimaisha.
Ajabu kweli!

Unayetaka tujifunze communication skills.

Huna hizo skills.
 
Katika kitu ambacho sitokuja kufanya ni kunyenyeka watu au kuogopa watu pia kuwa mnafiki eti sababu watanipenda au kuogopa kuchukiwa.
who the hell cares?

Kuhangaika kupendwa na kukubalika ni dalili ya inferiority complex na low self esteem.

Na sio kweli kwamba kupendwa na jamii ndio mwanzo wa kufanikiwa na wala kupendwa au kuchukiwa hakuna mahusiano yoyote na mafanikio.

Bali mafanikio ni matokeo ya hardwork, juhudi binafsi, kujielewa, kujitambua na kujiamini pia kuwa na mipango mikakati au clear plans and goals.

Kupendwa, kuchukiwa kuwa mnafiki havina mahusiano yoyote na kufanikiwa.
 
Maisha ya sasa asilimia kubwa ya watu wanapenda sana kubembelezwa na kunyenyekewa sana hivyo huna budi kuishi hivyo ili mambo yako yaende hata kama umewazidi elimu kiasi gani as long as wana kitu muhimu wanachoweza kukupush basi wewe nyenyekea tu na jifunze kuishi nao na Ku interact nao.
Jifunze kuwa na communication skills za kuweza kuzungumza na kila rika iwe wazee, watoto vijana na kadhalika mambo yako yatanyooka sana maana kila mtu kwenye jamii yako atakupenda na upendo wa watu ndio mwanzo wa mafanikio ya kimaisha.
Mkuu, sasa mbona hizi kauli zako mbili zinajikanganya sana (Self-Contradictory)? Sasa hao wanaopenda kunyenyekewa kama ulivyoandika hapo juu, watawezaje kuzungumza na watu wa kila rika na hali katika jamii (From different walks of life)?
 
Kwenye maisha ya sasa jambo la muhimu la kujifunza ni kuwa na communication skills, skills za kuweza ku interact na kila mtu kwa kuzingatia mapungufu yake na namna ya kuishi naye.

Maisha ya sasa asilimia kubwa ya watu wanapenda sana kubembelezwa na kunyenyekewa sana hivyo huna budi kuishi hivyo ili mambo yako yaende hata kama umewazidi elimu kiasi gani as long as wana kitu muhimu wanachoweza kukupush basi wewe nyenyekea tu na jifunze kuishi nao na Ku interact nao.

Jifunze kuwa na communication skills za kuweza kuzungumza na kila rika iwe wazee, watoto vijana na kadhalika mambo yako yatanyooka sana maana kila mtu kwenye jamii yako atakupenda na upendo wa watu ndio mwanzo wa mafanikio ya kimaisha.
Definitely
 
Jifunze kuwa na communication skills za kuweza kuzungumza na kila rika iwe wazee, watoto vijana na kadhalika mambo yako yatanyooka sana maana kila mtu kwenye jamii yako atakupenda na upendo wa watu ndio mwanzo wa mafanikio ya kimaisha.
Katika hili ninakubaliana na wewe kwa 100% lakini interactions na watu wa rika na hali tofauti ni lazima ziwe na mipaka pia.
 
Mama yangu huniambia, tutapata kutoka kwa watu.

So ni muhimu NAMNA ya KUJUA kuishi na Hawa watu.
Nini maana ya kuishi vizuri na watu?

 
Siyo maana ya Communication Skills kuwa uishi kwa kunyenyekea. Inakusaidia kufahamu nini cha kusema,kwa nani na wakati gani. Inakusaidia kuchagua maneno sahihi but si kwamba CS Inakufanya uwe mnafiki na kunyenyekea watu.

Inakufanya uwe tu ni mtu ambaye una utulivu wa mawasiliano kwa kila mtu kwa kadiri ya umri wake,elimu yake,utamaduni wake n.k
Saaaaafi sana mkuu
 
Sawa Chief..

Hivi kati ya watu wengi + kila mtu inakuwaje?...Msaada Boss.
Mimi sio boss. Mimi ni kijana wa kawaida sana.

Kila mtu maana yake ni kwamba kama Tanzania ina watu milioni 50 basi hao wote utakuwa na uhusiano mzuri nao ila watu wengi maana yake kati ya watanzania milioni 50 unakuwa na uhusiani mzuri na watu milioni 40 alafu milioni 10 hauna uhusiano mzuri nao.
 
Back
Top Bottom