Beauty is in the eye of the beholder...Kuna watu wanajiuliza watampata liniYaan havutii kiukweli. Make up pia inadunda
...hela ya mwanamke inatakuharibia dili zako tu achana nayo!wit hela ni hela hebu nifanyie muamala kidg maisha kusaidiana mbona za kwetu tunatoa bila kujiuliza nyinyi kidg tu inakua balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yahaya aliimbiwa mwana fa sio gadna
From profile picture to proper future
Hivi walipelekaga kesi ya kugawana mali mahakamani? Iliamuliwaje?
Tabia za kihaya umezoea vya dezo, unaliwa vyote papuchi na pesa pia..Mimi mwanaume nikishamuona na hulka ya kuomba omba vitu mwanamke, mwanaume unaomba ofa, outing,mara kujifanya unaomba kukopeshwa, yaan zile tabia za kuku undergrade kama mtoto wa kiume sijui huwa nakuonaje?.....A real gentleman hafanyagi huu upuuzi asee!
Kuna wanaume wanaogopa hela ya mwanamke kama ukoma! Manaake wanajua inakuja dharau hapa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa aliona soo akakausha........we demu full kukuita marioo utathubutu kwenda mahakamani?Hivi walipelekaga kesi ya kugawana mali mahakamani? Iliamuliwaje?
Hasa kama jamaa alikuwa anamkojoza vizuri. Ngumu sana kumsahau mtu wa namna hiyo.
Jamaa aliona see akakausha........we demu full kukuita marioo utathubutu kwenda mahakamani?
Jamaa aliamua kumpotezea tu, ndo kipindi kile wanalewa na kibonde hadi wakadakwa na traffic pale ml. City!
Depression!
Sent using Jamii Forums mobile app
haijawa comfirmed sema ni tetesiKwani Jen na Pitt wamerudiana?
Mbona hii habari sijaipata na niko nao hapa Pompano Beach,FL
Sent using Jamii Forums mobile app
sema brad pitt anaonekana anajipendekeza Zaidi kwa demuKwani Jen na Pitt wamerudiana?
Mbona hii habari sijaipata na niko nao hapa Pompano Beach,FL
Sent using Jamii Forums mobile app
Hasa ukute wengine shukrani hawanaMimi mwanaume nikishamuona na hulka ya kuomba omba vitu mwanamke, mwanaume unaomba ofa, outing,mara kujifanya unaomba kukopeshwa, yaan zile tabia za kuku undergrade kama mtoto wa kiume sijui huwa nakuonaje?.....A real gentleman hafanyagi huu upuuzi asee!
Kuna wanaume wanaogopa hela ya mwanamke kama ukoma! Manaake wanajua inakuja dharau hapa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha Jide kaona isiwe tabu chakufia nini, kimsingi huwezi kumuacha mtu unayempenda na mlieishi miaka mingi hata kama kulikua na migogoro ya hapa na pale!Mkishavuana kabla hata mkiachana mkijakutana possibility ya kuvikutanisha ni kubwa mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Amerudi KUKOJOZWA Tena baada ya Kuachana na Chilisosi,Tomato,Hiriki,mdalasini,karafuu?
Kwani unateseka 😂😂😂???😂😂😂😂☺☺😂Heshima yako mkuu
Sasa mwanaume rijali na una access ya ndinga na pesa unaanzaje kumkataa mtoto kama Tunda akileta shobo et kisa kuvumilia polygon kama Jide.Weee...huyu jamaa kamfanyia mambo mengi sana huyu dada khaa!
Alikuwa pia akichukua hizo ndinga zake anawapa mademu zake wadrive while Jide akiwa safarini!
Hujaweka kumpiga hela, mdada katulia lkn mabwana zake mmh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wity acha mkono wa birika basi, ukitaka kula sharti uliwe kidogo...sasa we unataka kula pekeake?Mimi mwanaume nikishamuona na hulka ya kuomba omba vitu mwanamke, mwanaume unaomba ofa, outing,mara kujifanya unaomba kukopeshwa, yaan zile tabia za kuku undergrade kama mtoto wa kiume sijui huwa nakuonaje?.....A real gentleman hafanyagi huu upuuzi asee!
Kuna wanaume wanaogopa hela ya mwanamke kama ukoma! Manaake wanajua inakuja dharau hapa!
Sent using Jamii Forums mobile app