kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,499
Huwa nakutana nae sana jackies masaki ngoja na mimi nijalibu bahati yanguMwenzangu weeeee. Acha tu.
Huwa nakutana nae sana jackies masaki ngoja na mimi nijalibu bahati yanguMwenzangu weeeee. Acha tu.
Duh asante Bint mrembo, ila huyu Mchagga kwa Mkurya hatamuweza mtoto anataka na makofi juuMume alishirikiana na wezi wakaenda kumuibia vifaa vya gari ile murano badae watu wakamtonya kuwa gadna alihusika walipukutuisha vitu kama vya milioni ishirini hivi according to jaydee mwenyewe ikabidi afunge safari hadi uganda kufata spea mpya
Huwa nakutana nae sana jackies masaki ngoja na mimi nijalibu bahati yangu
Yawezekana hawajarudiana kimapenzi Ila tu wameamua kuweka tofauti zao pembeni na maisha mengine yaendelee
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha kama unaishi nao vile. Pamoja na hayo huwezi kumuita marioo sema labda mchoyo kumbuka marioo wenyewe hata hiyo hela ya gambe wanapewaMmh temea mate chini....mkojozaji hatoagi hata mia, salary yake inaishiaga kwenye gambe tu!...jide shahidi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuibiwa vifaa vya kwenye gari ndio kulimfanya akosane na clouds?Mume alishirikiana na wezi wakaenda kumuibia vifaa vya gari ile murano badae watu wakamtonya kuwa gadna alihusika walipukutuisha vitu kama vya milioni ishirini hivi according to jaydee mwenyewe ikabidi afunge safari hadi uganda kufata spea mpya
Nilikua nazungumzia ugomvi wa jide na gadnaKuibiwa vifaa vya kwenye gari ndio kulimfanya akosane na clouds?
Ni kama gari lilikuwa linatumika kubebea mbebezi na mista, mama wa vita baada ya kuinyaka hiyo akamnyang'anya gari mista....Kuibiwa vifaa vya kwenye gari ndio kulimfanya akosane na clouds?
kuliko wahusika wenye informationWatu mko well informed
Weee...huyu jamaa kamfanyia mambo mengi sana huyu dada khaa!Mume alishirikiana na wezi wakaenda kumuibia vifaa vya gari ile murano badae watu wakamtonya kuwa gadna alihusika walipukutuisha vitu kama vya milioni ishirini hivi according to jaydee mwenyewe ikabidi afunge safari hadi uganda kufata spea mpya
Kwani Jen na Pitt wamerudiana?ni kama brad pitt na Jennifer Aniston yote yanawezekana
Kashavuna vya kutosha. Anaangalia pengine penye manufaa zaidi. Komando niliwahi kukutana nae uso kwa uso benki aisee uchawi upo
Uchawi upo?...Nini Tena?Kashavuna vya kutosha. Anaangalia pengine penye manufaa zaidi. Komando niliwahi kukutana nae uso kwa uso benki aisee uchawi upo
Mimi mwanaume nikishamuona na hulka ya kuomba omba vitu mwanamke, mwanaume unaomba ofa, outing,mara kujifanya unaomba kukopeshwa, yaan zile tabia za kuku undergrade kama mtoto wa kiume sijui huwa nakuonaje?.....A real gentleman hafanyagi huu upuuzi asee!Haha kama unaishi nao vile. Pamoja na hayo huwezi kumuita marioo sema labda mchoyo kumbuka marioo wenyewe hata hiyo hela ya gambe wanapewa
wit hela ni hela hebu nifanyie muamala kidg maisha kusaidiana mbona za kwetu tunatoa bila kujiuliza nyinyi kidg tu inakua balaaMimi mwanaume nikishamuona na hulka ya kuomba omba vitu mwanamke, mwanaume unaomba ofa, outing,mara kujifanya unaomba kukopeshwa, yaan zile tabia za kuku undergrade kama mtoto wa kiume sijui huwa nakuonaje?.....A real gentleman hafanyagi huu upuuzi asee!
Kuna wanaume wanaogopa hela ya mwanamke kama ukoma! Manaake wanajua inakuja dharau hapa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan havutii kiukweli. Make up pia inadunda