na mimi piaKwa ujumla mwili wote wa mwanamke unavutia, macho,mziwa, uso, midomo, mashavu, shingo,nywele, kiuno, hipsi, miguu, kucha, mpangilio wa meno mdomoni, vidole vya miguu, suti nk, nk.
Lakini mimi nafsi yangu hasa inapenda mwanamke mwenye mkia.
Miss chagga namsikia tu !; ebu picha yake tafadhariUkiona macho ya miss chagga Au cute b changanya na upole flani hivi kama Wa sister Heaven Sent hakyanan unaweza umpe wallet yote
HIV mkia ndo nnmkia unahusika sana
Watu wengi wamekua wakija au kuleta falsafa mbalimbali hasa kwenye kumnadi na kunakshi nakshi mwanamke wengi wao wakisema Mwanamke "TABIA"....Mi kwangu hyo ziada tu kama riba bank!!
Na kasumba ya wanaume wengine kupenda CHURA mkubwa Mi kwangu bado!!
"Sasa kinachonitia kichaa ni jicho la mwanamke"
Daahh yaan hapa nikikutana na mwanamke mwenye macho mazuri huwa nasisimka na kuwa na hamu naye isiyo na kipimo!!
Hayo mengine kwangu n kama nyongeza...Jaman wenye macho mazuri wanatia hamasa yaan! na ndo wachache daahh hawa viumbe
Allah jalia viumbe wa hivi wapitie niliko!!
View attachment 400452View attachment 400454View attachment 400455View attachment 400456View attachment 400457
Chura ndo nnchura ndio habari ya mujiniii
Sasa wewe usomi na mapenzi kuna uhusiano gani!! Ukiwa msomi unakua huna sifa za binadam kama kupenda na kutamani!! Haya mambo ni naturalUna weza shangaa ndio msomi unae tegemewa lakini la maana unalo liona ni macho ya wadada tu!! Yaani hii Nchi alie turoga alisha kufa walahi.
Umeua chief! Umenichekesha sanaMi mwanamke hata awe mzuri kama malaika halafu hanuki makwapa, kwa kweli bora nilale na mnyama tu.
Kuna wanawake wanapenda harufu za wanaume tena ile natural! Nimeenda hospital nimekutana na mwanamke mmoja et kabeba singlend ya mume wake tupo kwenye foleni anakaa kidogo anaitoa anainusa tena anairudisha!! Yaan hivi vikwapa kunawatu wamekua Addicted kwenye hizi mamboUmeua chief! Umenichekesha sana
Dah huyu Mungu ni fundi jamani ,jicho hilo ,hizo lips rangi ya ngozi ,Nywele zake sio za farasi na kauso ka mviringo ,Dental formula ,halafu ukute upstairs yupo smart halafu amejibeba kiasiCheki jicho iloo
Daah! Huyu mtoto Hata akikufilisi ni haki yake. I'llo jicho tu nimepoteza networkCheki jicho iloo
Mtamu niringeTupia picha yako mbona kwa mbali unaonekana mtamu