Nenda hospital ukafanyiwe check up na kisha ufanyiwe operation ndogo ya jichoHabari wapendwa,
Naomba kujuzwa kama naweza tibiwa tatizo la mtoto wa jicho na likapona. limeanza kidogo naona linaendelea.
Ningependa kujuzwa na gharama zikoje.
SawasawaNenda CCBRT, wanakuchuna na unakua sawa kabisaaaa.
Kibaha mpakani niliwahi kwenda kuna hospital ya macho inaitwa medwel lcharitable hospital japo ipo ndani imejificha ola watu nyomi na kuna idadi maalumu ya kushughulikia watu kuwa siku unaweza kufika saa Moja lkn unakuta umechelewa namba umekosa , watu wengi wanaisifu kuna huduma bora kwa bei nafuu.Hata kibaha,mitaa ile ya mizani ya zamani kuna hospitali pale wanafanya kwa gharama nafuu sana...
Yes ndiyo hiyo inaitwa Medwell nilisahau jina lake.Wale wanapata ufadhili kutoka nchi za kiarabu kwa hiyo wana vifaa na wataalamu wa kutosha...Kibaha mpakani niliwahi kwenda kuna hospital ya macho inaitwa medwel lcharitable hospital japo ipo ndani imejificha ola watu nyomi na kuna idadi maalumu ya kushughulikia watu kuwa siku unaweza kufika saa Moja lkn unakuta umechelewa namba umekosa , watu wengi wanaisifu kuna huduma bora kwa bei nafuu.
Asante,Kibaha mpakani niliwahi kwenda kuna hospital ya macho inaitwa medwel lcharitable hospital japo ipo ndani imejificha ola watu nyomi na kuna idadi maalumu ya kushughulikia watu kuwa siku unaweza kufika saa Moja lkn unakuta umechelewa namba umekosa , watu wengi wanaisifu kuna huduma bora kwa bei nafuu.