Kurunzi
Platinum Member
- Jul 31, 2009
- 10,196
- 11,624
Kipindi cha jicho la habari naona kimeanza, wachambuzi watatupia macho mambo yaliyojitokeza kwenye habari wiki hii huku kikubwa ni suala la Gesi Mtwara kauli za Rais, na Waziri na wanasiasa wengine.
Naona hiki kipindi kinakosa mvuto kadri siku zinapokwenda kwani Studio Dar hakuna wachambuzi na hata waliopo Mwanza sidhani kama wanaweza kutoa hoja za msingi.
Kama ulisoma maelezo ya Zitto kwenye mwananchi ilitegemea waziri Mhongo kuja kujibu hoja za zitto na lipumba na Mbatia. Star TV boresheni kipindi tuongee asubuhi.
Naona hiki kipindi kinakosa mvuto kadri siku zinapokwenda kwani Studio Dar hakuna wachambuzi na hata waliopo Mwanza sidhani kama wanaweza kutoa hoja za msingi.
Kama ulisoma maelezo ya Zitto kwenye mwananchi ilitegemea waziri Mhongo kuja kujibu hoja za zitto na lipumba na Mbatia. Star TV boresheni kipindi tuongee asubuhi.