simaye
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 426
- 214
Mimi sijawahi kabisa kusomea uandishi wa habari lakini nafuatilia sana habari.
Naona Moses Methew anaonekana kuwa na uelewa mdogo sana kuhusu uandishi wa habari na hasa za Magazeti.
Siku Magufuli alupochukua fomu magazeti yote habari ilikuwa kama ilivyokuwa siku ya Lowassa.
Ukipewa nafasi ya kuchambua habari katika chombo cha habari na hasa live tv ni vema ukajipima na kujiweka katika mlengo wa kati.
Vyombo vya habari kuandika zaidi juu ya Lowassa siku ya kuchukua fomu na namna watu walivyojitokeza hakuna lugha nyingine ya kutumia zaidi ya walivyoandika.
Naona Moses Methew anaonekana kuwa na uelewa mdogo sana kuhusu uandishi wa habari na hasa za Magazeti.
Siku Magufuli alupochukua fomu magazeti yote habari ilikuwa kama ilivyokuwa siku ya Lowassa.
Ukipewa nafasi ya kuchambua habari katika chombo cha habari na hasa live tv ni vema ukajipima na kujiweka katika mlengo wa kati.
Vyombo vya habari kuandika zaidi juu ya Lowassa siku ya kuchukua fomu na namna watu walivyojitokeza hakuna lugha nyingine ya kutumia zaidi ya walivyoandika.