Wasaidiwe vipi? allready mtu una ngwengwe hivi unafikiria serikali au jamii itakusaidiaje wewe ukiwa na ngoma? usiniambia masuala ya ushauri plshivi ingekuwaje kama Serikali ingetoa incentives kwa watu ili wapime afya zao kwa hiari? na wakigundulika ni waathirika wakasaidiwa kwa namna fulani.
Vivian watu kupima huu ugonjwa imekuwa kama kuwapa hukumu ya Kifo..
Sijui ni Elimu gani kwanza itumike ili kuwaconvice watu wajitokeze kwa wingi kupima afya.
Kwasababu mimi Vivian nilitembea na Invisble, na tayari invisible wameshaanza kumsema mtaani kuwa ni muadhirika, moja kwa moja na mimi najichukulia tayari ni Muadhirika, na kwasababu nina roho mbaya ninaamua kuondoka na watu pia. sitaki kufa peke yangu. atakayejipendekeza shauri yake, swala la condom ni yeye mwenyewe. akiwa nayo poa. asipokua nayo poa.
This is will finish Us!!!!. ?.
Tufanyeje??????
Tupigane na ufisadi!!!
Kama sio ufisadi, Tanzania ni moja ya Nchi Tajiri Africa. kwasababu ya Ufisadi Tanzania ipo kumi bora ya nchi maskini Africa.
Kama Tungeweza kutumia rasilimali zetu katiaka njia isiyo ya kifisadi, Tungeweza kuwasaidia na kuwawezesha waathirika wa ukimwi.
hivi ingekuwaje kama Serikali ingetoa incentives kwa watu ili wapime afya zao kwa hiari? na wakigundulika ni waathirika wakasaidiwa kwa namna fulani.
Can we just Check what is SA doing about this?.[/QUOTE
Inabidi tufikie mahali sasa tuache au tupunguze kuilaumu serikali yetu badala yake tujaribu kuwa wawazi kwa hatua iliyofikia na tuishauri jinsi ya kuboresha hicho ilichoanzaisha,
Kwa nini nasema hivi :
Nafahamu kabisa serikali kuna hatua imechukua katika suala hili la gonjwa la ukimwai ikiwa ni kwa ushirikiano wa mashirika yasiyo ya kiserikali na asasi mbalimabali wamekuwa wakijitolea sana kuakisha kwanza huduma ya upimaji wa VVU iantolewa bure na hilo kweli wamejitahidi.
Pili serikali pamoja na nchi rafiki pamoja na mashirika ya kidini yamekuwa yakijitahidi sana kuhakikisha afya ya waathirika ianangaliwa ikiwa ni pamoja na kuwapa dawa za kupunguza makali na pamoja vyakula vya kumsaidia muwathirika japo huduma hii imekuwa ikipigiwa makelele sana kwamba kumekuwa na upendeleo katika kupata huduma hii lakini serikali imejatahidi kwa kiasi fulani.
Dada Hongera kwanza kwa kuandika ujumbe mzito, lakini turekibishane kwenye mambo yafuatayo!
Sentensi yako hapo juu na yenyewe ni sehemu ya kunyanyapaa. Kwanini, swala la kujikinga na maambukizi wapewe waathirika tu? Ama kwanini unadhani waathirika wote wanamalengo ya kuambukiza watu kwa makusudi tu! Yawezekana wapo lakini sio wote. Cha kukumbuka ni kitu kimoja tu - ukiwa na vijidudu/ukimwi sio kwamba matamanio ya mwili yanatokomea, la hasha, pia inajulikana ukijitangaza unatengwa - na basi kama ukibahatisha upate muathirika mwenzako! Sasa, Kijana mwenye miaka 30 kwanini abebe mzigo huo katika jamii ambayo haijali kujitokeza kwake? Kwahiyo, jukumu la kujilinda ni la wote - na haswa ambao sio waathirika kuelewa.
Pia kunamifano mizuri ya waathirika ambao wamejitangaza na wanaendesha maisha yao kwa uwazi na makini sana. Pia lazima ujue, nijitangaze kwa nani? kwa faida ya nani? na wakati gani!
Vivian tatizo kubwa saana katika hili janga la Ukimwi ni Kila Mwadamu kujiona yupo Unique kana kwamba yeye Ungonjwa hauwezi mpata (ha hali anajihusisha na Sex); Kwa wale ambao wanaamini wanaweza kupata (ama wamesha pata) majority hua na Elimu ndogo saana kuhusu Ugonjwa. Naamini kua wengi twaogopa kifo saa ingine kuliko hata Ukimwi/Virusi vya Ukimwi.
Na wengi saana wakisikia kua mwenye HIV anaweza ishi kwa mda mrefu – uhisi tu kua ni maneno ya Matumaini. Wanakua hawatambui kua ukiwa na HIV na ukaishi kwa vigezo na masharti you can live for a very long time. Hio inapelekea majority kuendelea kujihusisha na ngono isio salama na inevitable kusababisha hata alie kua anajihisi tu (na hana) aambukizwe, AMA yule ambae aliathirika kwa virus vya viwango vya chini viongezeke hadi a Critical Level....
However nipo really interested as to why umegusia kua SA wanafanya nini....
Vivian watu kupima huu ugonjwa imekuwa kama kuwapa hukumu ya Kifo..
Sijui ni Elimu gani kwanza itumike ili kuwaconvice watu wajitokeze kwa wingi kupima afya.
Tanzania imekuwa ina-rely kwenye counselling practice only, i.e kubadilishana mawazo ya matumaini na wagongwa walio na cronic desease alone is not enough to convice them. Tunatakiwa kuimarisha au kuanzisha Palliative care services ili kuhakikisha kuwa wanaopima na kukutwa na incurable desease kuwa watapata huduma bora mpaka maisha yao yatakapofikia kikomo. Ila huduma bora maana yake ni gharama, na gharama maana yake ni uchumi kuwa unawezesha serikali kukusanya mapato ya kugharamia huduma hizo via tax.
Kinachoiua Tanzania ni uongozi mbovu usio na kipaumbele na wenye kuangalia masilahi binafsi zaidi ya yale ya nchi. Watu hawagombei uongozi kuacha legacy bali wanagombea uongozi kuliibia Taifa na kujitajirisha wenyewe.
Chanzo cha yote haya ni Uongozi, kama serikali inashindwa kujua kuwa madaktari ni muhimu zaidi ya wanasiasa basi hapo kuna tatizo la ubinafsi, na tutaendelea kufa kwa magonjwa ambayo yanaweza kuzuilika. Tokea tumeanza chaguzi za vyama vingi ni nadra sana kusikia watu wakiweka kipaumbele katika sekta ya afya. Tumekuwa brainstormed kiasi kwamba kila kitu tunaishia kusema 'Kazi ya mungu'.
basi tuanze kufight against stigmatisation kwanza then mapambano yaendelee.Kijitangaza?
sipo tayari kutengwa na Jamii.
basi tuanze kufight against stigmatisation kwanza then mapambano yaendelee.
huu ugonjwa ukijua kama unao ndio unakumaliza kbs yan, bora kutojijua pia unless tuwe assured kuwa unyanyapaa utatokomezwa kidogo kunaweza kumotivate watu.
kutengwa mama ni soo yan hapo tuu.