Jicho la Mungu vs Mwanadamu





Huoni kuwa tumeshatoka nje ya mada na bado unataka niendelee kukufahamisha ambayo ulikuwa huyajui,anzisha mada inayojitegemea katika hayo maswali yako na nitakueleza kadri ya uwezo wangu na nina imani wengi watakusaidia pia ili uweze kuwafahamu vizuri hawa watu..
 
Msiznguke sana jibu ni kwamBa, kafiri wake moto tuuu. Nakuhusu hii picha ni ishara tu kuwa anayejisitiri basi anzuia mengi na uenda atuona mlango wa pepo hata kama hatoingia au kuishia njiani,mana hata ngazi hawajapanda je wakidondoka, na hiki kicheche kingine kinaweza kikaishia njiani afu mungua akakisamehe!
 

naona ulipindisha mada lkn kama huwezi kujibu basi poa,
 

Je Mungu alimuumba Hawa na kumvisha hijab?? si bora kimini, Hawa na mme wake walipojitambua walikuwa uchi, wakaamua kujivalisha majani ya miti, Mkuu dini haikuanza jana wala juzi ilikuwepo kabla ya ukiristo na uislam, kabla watu hawajagundua viwanda vya nguo, kabla ya kuzaliwa mitume. sasa jiulize technologia ya kutengeneza hijab iligunduliwa lini ukilitafakari hilo kwa makini ndo utajiona jinsi ulivyo mtupu mkichwa.
 
Baba V mimi niko Bujonde, hawa ndugu zetu ni wa kuwapiga tu na mishale. Watu wenyewe wanapelekeshwapelekeshwa tu, wala hawajielewi elewi
Naenda kumalizia kujenga handaki langu hapa Makwale,jirani na matema beach just in case Bi Joyce akilianzisha, ntarudi!
 
Last edited by a moderator:


i see ... so wenye elimu ya kutosha wanapigia magoti sanamu ya mzungu na kuiabudu ..?!
 


umekurupuka!


1 ) si tamaduni ya kiarabu bali ni tamaduni ya kiislam ni Quran & sunnah imetuamrisha tujisitiri hivo ...

2 ) hijab sio lazima iwe nyeusi na kanzu sio lazima iwe nyeupe.. hujaona kanzu nyeusi.. blue.. kijivu ...?? and so do hijab....

 




Sawa Mmanga koko nimekusikia.............
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…