Jibu kama umepewa taarifa mbaya

Jibu kama umepewa taarifa mbaya

Mwenye mimba yangu alikuwa mama angu ndo amenizaa we hyo mimba yangu umeitoa wapi wakati Mimi tayar nishazaliwa? We demu sitaki mazoea ya kisenge kabisa


Kama ni yangu niwekee kweny mfuko au nifungie kweny gazeti niletee geto
 
Jay Nina mimba yako

[emoji41][emoji41]
Wow what wow. That's so good of my baby. Hongera sana

Nambie mpenzi Ungependa mtoto wetu kama akiwa wa kike tumuite nani na akiwa wa kiume tumuite ?
 
Wanawake bhana, kuna siku broh wangu kamchek wife alikuwa na mimba akamwambia baby narud home nikuletee nini mke wangu?, wife akamwambia njoo na sanamu ya posta jamaa akajua utani kurud home eeh kwel wife yuko siriaz kanuna jamaa kabembeleza wapi ikabd aende mwenge kutafuta sanamu yoyote ndo wife kutuliaa[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] wanawake shikamoo
 
Eti mimba yangu😠😠 hiyo mimba nilikurushia kwenye Bluetooth??
 
Acha uongo we mwanamke unanizushia Kwanzaa Mimi ni tasa sema sikukwambia tu kile kipindi naanza kukutongoza
 
Back
Top Bottom