Jiajiri kwa mtaji wa 11,500/=

Jiajiri kwa mtaji wa 11,500/=

Status
Not open for further replies.
Ili kusajiliwa unatakiwa uwe na kianzio cha mtaji ndugu hapo hapo ulipo na umekwisha kiweka katika akaunti yako ya mpesa / tigo pesa au airtel money, ndipo utume details zako uweze kusajiliwa. Baada ya kusajiliwa unatakiwa uweke salio ndani ya saa moja ili menyu yako ifunguke. Kushindwa kufanya hivyo akaunti yako itajifunga na hutoweza kuitumia tena.

Asante kwa jibu lako...

swali lingine : uweke salio ndani ya saa moja ili menyu yako ifunguke Naomba unieleweshe hapo kwamba unawekaje salio? na hiyo ni tofauti na kile kianzio cha sh 10,000/= ?

Swali lingine: Account ikishakuwa ACtivated inatakiwa isikae Idol kwa muda gani ili isifungiwe? namaanisha kama sijawa na ofisi bado account yangu itafungiwa baada ya muda isipotumika?

Asante.
 
Pole sana ndugu, hadi sasa Mobistock tuna zaidi ya miaka mitatu na tuna mawakala zaidi ya 75,000 nchi nzima.. Hii ni dhahiri kuwa huduma imepokelewa vyema katika jamii bila kuwa na shaka wala wasi wasi nasi. Tunaendelea kurahisisha huduma kupatikana karibu nawe, kukuongezea faida na kukupatia ajira kwa mtaji kidogo sana. Karibu Mobistock - Biashara mkononi
Nimependa the way umereply, wenzio huwa wanakuja na povu midomoni kama hawana akili, BUT YOU DID WHAT AN EXPERT COULD DO, hongereni Mobistock kama huu ndio ukweli. Nadhani zama za Watanzania kutapeliana zifike kikomo na watu kama hawa wenye positive thinking wapewe nafasi na ikiwezekana support.

By the way, Tsh 11,500 ni pesa ndogo ukilinganisha na level ya Unemployment hapa kwetu

Its better to try first than to regret forever.

changamkeni vijana. sio wote wezi, japo umakini wahitajika!!
 
bado nafasi za kujiunga zipo? vip mrejesho kwa waliojiunga tayar!? hyo huduma ya LUKU ipo!?
 
bado nafasi za kujiunga zipo? vip mrejesho kwa waliojiunga tayar!? hyo huduma ya LUKU ipo!?
Huduma ya luku ipo na inafanya kazi. Luku inauzika kwa wateja wanao tumia Mashine (pos) za mobistock tuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom