white hat
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 3,323
- 2,487
ipi ni njia nzuri ya kupokea mkwanja
ipi ni njia nzuri ya kupokea mkwanja
ipi ni njia nzuri ya kupokea mkwanja
poakwangu ni western union
kaka naomba namba yako nitumie 0654506515
hiyo template uliyotumia inaitwaje?ukifanikiwa kupata template kama hiii basi umeula.
Dental Diseases and Heart Surgery specialist from Apollo Hospital in Tanzania Visit Tanzania - KISANA HEALTH
japo mimi ni mgeni ila ninavyojua adsense wana vigezo vyao kuanzia watembeleaji mpaka idadi ya post zako na lugha unayotumiaNaomba kuuliza, Hivi hao wenye matangazo, kweli wanaweza kutangaza ktk blog yako ambayo labda haizidi viewers hata 100 kwa mfano!?
japo mimi ni mgeni ila ninavyojua adsense wana vigezo vyao kuanzia watembeleaji mpaka idadi ya post zako na lugha unayotumia
ndio maana unatuma maombi kwanza wanapitia website yako wakijiridhisha ndo wanaweka matangazo yao
hii inasumbuaga sana,mtu asipokuwa makini anaweza akawa anamfanyia mtu mwingine kazi pasipo kujuaNauza adsense akaunt non hosted usalama upo
hii blog yako mzee daah ina muonekano mbaya,ingawa una content nzuri...jipange uirekebisheUnaweza rekebisha hii blog yangu iwe na muonekano mzuri www.halonewstz.com
mimi sijakubaliwa badoKwa wewe labda ulipoanza, ulikua na viewers wangapi iliyopelekea kuwashawishi jamaa?
Kama zip mkuuFanyeni kazi zisizo na complications, mambo ya blog ni ujinga
kwahiyo kina millard,issa michuzi wote wanafanya ujingaFanyeni kazi zisizo na complications, mambo ya blog ni ujinga
KilimoKama zip mkuu
hakina tija....Kilimo
kilimo na blog kipi chenye complications sasa? halafu mtu kufanya blog sio km hana shughuli nyingine ya kufanya bosi usiwachukulie watu poa...Fanyeni kazi zisizo na complications, mambo ya blog ni ujinga