Elections 2010 JF's Maxence LIVE on EATV "Uchaguzi Express Live"

Ni wazi kuwa post ambayo ilitumwa ililenga ku-stress suala zima la maadili yanayoendana na uongozi. Tofauti na pale kwenye thread inapoelezewa kuwa ilipelekwa. hata hivyo thread ikiwa innapelekwa mahala fulani ambapo tayari ilishajadiliwa inaoneshwa kuwa iko moved lakini hilo alikufanyika pindi ilipoondolewa thread hiyo kwani nilikuwa nimelog in na nilikuwa naangalia.
kama hayo hayatoshi..,naona mmeamua kunizushia kwa makusudi na kuniwekea hila katika kitu ambacho sikukisema wala kukifanya hili mjustify kile mnachotaka kukifanya. waswahili wanasema ukitaka kumuua mbwa basi mpe jina baya,naona hili linataka kutokea hapa kwenye JF. Ninauhakika kuwa IP adress yangu mnayo na hivyo mnajua kuwa hilo la kutumia username PADRI sijawahi kulifanya wala kukashifu kanisa. kuna wakati watu wanajengewa zengwe fulani hili kuhakikisha kuwa kitu fulani kinafanyika bila kupingwa au ni tahadhari kwa mtu huyo ili asirudie kufanya kitu fulani alichokifanya hapo awali kilichopelekea kuzushiwa zengwe hilo. kama kuna ushahidi kuwa mimi nilitumia jina PADRI na nikalichafua kanisa, ungetolewa na kufanyiwa analysis kwa njia ya kiugwana na kielimu ili kumaliza jambo hili. kwanini mnajaribu kuzusha vitu ambavyo havipo...!

Mkuu, uki admit kuwa ulifanya makosa kutoa lawama thread zako zimefutwa na JF kwa vile wewe si Chadema litakuwa jambo la busara. Na ukiomba msamaha kwa hilo utakuwa umeonesha hekima yako. Mambo mengine nadhani ni malalamiko dhidi ya kanuni za uendeshaji tu, swala ambalo ni subjective (i.e. JF ingelikuwa bora zaidi au ingelikuwa imeshachemsha).
 
Ni wazi kuwa post ambayo ilitumwa ililenga ku-stress suala zima la maadili yanayoendana na uongozi. Tofauti na pale kwenye thread inapoelezewa kuwa ilipelekwa. hata hivyo thread ikiwa innapelekwa mahala fulani ambapo tayari ilishajadiliwa inaoneshwa kuwa iko moved lakini hilo alikufanyika pindi ilipoondolewa thread hiyo kwani nilikuwa nimelog in na nilikuwa naangalia.
kama hayo hayatoshi..,naona mmeamua kunizushia kwa makusudi na kuniwekea hila katika kitu ambacho sikukisema wala kukifanya hili mjustify kile mnachotaka kukifanya. waswahili wanasema ukitaka kumuua mbwa basi mpe jina baya,naona hili linataka kutokea hapa kwenye JF. Ninauhakika kuwa IP adress yangu mnayo na hivyo mnajua kuwa hilo la kutumia username PADRI sijawahi kulifanya wala kukashifu kanisa. kuna wakati watu wanajengewa zengwe fulani hili kuhakikisha kuwa kitu fulani kinafanyika bila kupingwa au ni tahadhari kwa mtu huyo ili asirudie kufanya kitu fulani alichokifanya hapo awali kilichopelekea kuzushiwa zengwe hilo. kama kuna ushahidi kuwa mimi nilitumia jina PADRI na nikalichafua kanisa, ungetolewa na kufanyiwa analysis kwa njia ya kiugwana na kielimu ili kumaliza jambo hili. kwanini mnajaribu kuzusha vitu ambavyo havipo...!

Poor guy...... hata nimeanza kukuhurumia sasa.
 
Mkuu, uki admit kuwa ulifanya makosa kutoa lawama thread zako zimefutwa na JF kwa vile wewe si Chadema litakuwa jambo la busara. Na ukiomba msamaha kwa hilo utakuwa umeonesha hekima yako. Mambo mengine nadhani ni malalamiko dhidi ya kanuni za uendeshaji tu, swala ambalo ni subjective (i.e. JF ingelikuwa bora zaidi au ingelikuwa imeshachemsha).

kuna wakati watu hudhani kuwa wao wameumbwa ili wengine wawafuate wao.,ni kwa mtazamo huu huona kuwa wanachowaza wao siku zote kiko sahihi na wengine hawana uwezo wala vipawa vya kuwaza kama wao, hivyo kudhani kuwa kukosoa ni kazi pekee waliyoumbiwa na pia hudhani wengine hawana nafasi ya kuwakosoa wao. nikisema kuwa kitu fulani sijakifanya ninamaana kuwa sijakifanya na hauna nafasi ya kunilazimisha kufanya kitu au kukubali kitu ambacho najua wazi kuwa si sahihi na sitakiwi kukifanya.
 
kuna wakati watu hudhani kuwa wao wameumbwa ili wengine wawafuate wao.,ni kwa mtazamo huu huona kuwa wanachowaza wao siku zote kiko sahihi na wengine hawana uwezo wala vipawa vya kuwaza kama wao, hivyo kudhani kuwa kukosoa ni kazi pekee waliyoumbiwa na pia hudhani wengine hawana nafasi ya kuwakosoa wao. nikisema kuwa kitu fulani sijakifanya ninamaana kuwa sijakifanya na hauna nafasi ya kunilazimisha kufanya kitu au kukubali kitu ambacho najua wazi kuwa si sahihi na sitakiwi kukifanya.

Hiki ndicho Steve Dii ameandika:

Steve Dii said:
Mkuu, uki admit kuwa ulifanya makosa kutoa lawama thread zako zimefutwa na JF kwa vile wewe si Chadema litakuwa jambo la busara. Na ukiomba msamaha kwa hilo utakuwa umeonesha hekima yako. Mambo mengine nadhani ni malalamiko dhidi ya kanuni za uendeshaji tu, swala ambalo ni subjective (i.e. JF ingelikuwa bora zaidi au ingelikuwa imeshachemsha).

Mkuu, unabisha kuwa hukutoa lawama kuwa threads zako zimefutwa?
 
kisha nipewe nafasi ya kujitetea na kusema ukweli wa mambo ulivyo..,then hapo hata ikiwa kunipoteza kabisa nitakuwa tayari pindi tu nitakapohakikisha kuwa dhulma na vitisho vimekoma hapa.

Hii maanake nini sasa?
 
Ni mara kwa mara tunapoona malalamiko ya dizaini hizi dhidi ya JF, ya kwamba ni chadema au posts zimefutwa, inatokana na watu kutokujua matumizi mbadala ya computer zao au watu kutojishughulisha kwanza kutafuta au basi kuuliza tu kiungwana post zao zimewekwa wapi.
Hii inasikitisha sana kuona mtu amekaa akinyong'onyea na kuilaani JF kwa nguvu zote kuwa ni chadema kumbe posts zake ziliunganishwa tu na thread nyingine, lakini initiative ya kusearch ndo hakuna!
Ili swala la kuhamisha baadhi ya post limekuwa likiwachanganya watu sana wakidhani kuwa thread zao zimefutwa, na unapo uliza kulikoni haupati majibu.

Hili kuondoa utata huu naona kuwepo na utaratibu wa kuwafahamisha wausika juu ya uhamisho wa topic zao ilikuondoa haya malalamiko.
 
Ili swala la kuhamisha baadhi ya post limekuwa likiwachanganya watu sana wakidhani kuwa thread zao zimefutwa, na unapo uliza kulikoni haupati majibu.

Hili kuondoa utata huu naona kuwepo na utaratibu wa kuwafahamisha wausika juu ya uhamisho wa topic zao ilikuondoa haya malalamiko.

kuna ground zimeundwa ili kujustify vitu fulani kwa maslahi ya watu wa kundi fulani..,kuna topic ambazo kiuhalisia hazijawa moved bali zimekuwa deleted and banned completely just the matter iz it claims negatively about slaa and chadema..,thats all....!

ushahuri wangu ni kuwa tujaribu kuwa na msimamo wenye kuleta manufaa ambao hauna uonezi..,wala hautaathiri uhuru wa maoni wa watumiaji na mpaka kufikia hapo ni wazi kuwa JF itakuwa ni home of free and great thinkers....!
 
Ili swala la kuhamisha baadhi ya post limekuwa likiwachanganya watu sana wakidhani kuwa thread zao zimefutwa, na unapo uliza kulikoni haupati majibu.

Hili kuondoa utata huu naona kuwepo na utaratibu wa kuwafahamisha wausika juu ya uhamisho wa topic zao ilikuondoa haya malalamiko.
Mkuu, thread (topic) inapokuwa MOVED inaacha ujumbe kama inavyoonekana hapa chini:

moved.png


Na endapo inakuwa imefutwa inaonyesha hivyo hivyo MOVED lakini mwishoni ina ujumbe TRASHED.

Sasa, unapoona ujumbe huo ni vema ukabonyeza link hiyo inakupeleka mpaka kule ujumbe ulikopelekwa, ukiona unaambiwa huna access basi unawasiliana nasi ili tukusaidie.

Labda tunakosea lakini kumbuka tulishaandika mengi hapa: Topic gani hufungwa au kufutwa kabisa JF? na hapa: How to use JamiiForums effectively

Sasa wale ambao hawajasoma haya wanakuwa wanataka turudie kila mara ungawa topic hizi zipo juu kabisa (sticky) ili kuweza kuondoa usumbufu wa kurudia kueleza mambo yale yale.

Aidha, wengi hawapendi kusoma topic hizo wanazoona zipo STICKY (maanake tunapendekeza usome) lakini wepesi wa kulaumu. Topic nyingine muhimu kusoma ni hii (ingawa wengi wanaiona na kuiruka tu):

JamiiForums Rules

kuna ground zimeundwa ili kujustify vitu fulani kwa maslahi ya watu wa kundi fulani..,kuna topic ambazo kiuhalisia hazijawa moved bali zimekuwa deleted and banned completely just the matter iz it claims negatively about slaa and chadema..,thats all....!

ushahuri wangu ni kuwa tujaribu kuwa na msimamo wenye kuleta manufaa ambao hauna uonezi..,wala hautaathiri uhuru wa maoni wa watumiaji na mpaka kufikia hapo ni wazi kuwa JF itakuwa ni home of free and great thinkers....!
Mkuu, una uhuru mkubwa tu... Ukizisoma links nilizoweka hapo juu, ukaangalia vema unayoturushia kama mods inabidi ufikirie mara mbili.

Mkuu, tambua kuwa tunawahudumia wengi, wa kada mbalimbali na dini mbalimbali... Ni vigumu kumridhisha kila mmoja, endapo utapata fursa ya kuzisoma hizo links nilizoambatanisha hapo juu na zile nilizoandika awali kuonyesha kuwa hoja ulizodai ZILIFUTWA tulikuwa HATUJAZIFUTA basi huenda ukatutendea sawa na tunavyostahili kutendewa, lakini una haki ya kutokubali na kuzidi kutulaumu... Ni haki yako ya msingi na tunaiheshimu!

Otherwise, naomba hili tuliache maana limehamisha mjadala kabisa!

Karibu
 
Back
Top Bottom