under_score
Senior Member
- Nov 2, 2011
- 190
- 45
Kachala niko zng Pinpoint Club "The place to be..."
Huyu ana nisumbua tuu hatak kunipa gem wadau njoon mumshaur
Nagonga glass hapa
Nimeoteshwa rais ajae kavaa gwanda nyeusi😕
Nacheki movie hapa
na makamu wake je
Mtumee simama ushuhudie maajabu😕😕
Mi nimetingwa na stress hapa yani natamani kukuche haraka niende kanisani.
Na nimekaa kitako hata kujiegesha kitandani bado sanaaa.
Ndoo nimeona nije jf labda ntakutana na mambo yatakayonisogezea mda mbele[/QUOTE
Ohho pole sana
mmeshalala wotee