Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,546
Wadau mwandishi wenu wa kujitegemea chini ya uhariri wa Bishanga na TANMO natiririka kama ifuatavyo,,
1. Siri ya Evelyn Salt kuhamia singida yagundulika, fumanizi latajwa, Slave aweka mambo yote hadharani.
2. Mia saba yamfanya Mjapani pori Hiroaki Akahoshi atembee kwa miguu toka Mbagala hadi mbweni, mwenyewe asingizia ni mazoezi, afika akiwa hoi, ashindwa kutembea siku mbili.
3. ummu kulthum aonekana nyumbani kwa Baba V, uteuzi wa vyeo kwenye kamati mbalimbali za mahusiano watajwa kuwa sababu, atishia kuwaburuza mahakamani waandishi wa habari kama.wakimpiga picha.....
4. Siri yafichuka kuhusu Ban za mara kwa mara za Baba V, King'asti atupiwa lawama., mwenyewe ashindwa kukanusha...
5. Ukimya wa gfsonwin jukwaani wazua maswali, mengi yasemwa, Mr Rocky alonga. Asema mara ya mwisho alimuona amevaa tenite. Vin Diesel atajwa...
6. Kisa cha Madame B kumkimbia Chimbuvu chawekwa hadharani, viti maalumu CHADEMA vyatajwa, Ben Saanane ashikwa na kigugumizi.
7. Siri ya kilio cha Free Thinker yagundulika...., division Ziro form four yatajwa. mwenyewe asema anamwachia Mungu.
8. Kashfa nzito yamwangukia mzee Mtambuzi, ni kuhusu degree feki..., wizi wa vyeti watajwa.. Mwenyewe akimbilia kwa sangoma....
9 Bishanga kuanzisha bendi ya taarabu, yeye mwenyewe kuchuana na Mzee Yusuf. Saida kalori mkurugenzi msaidizi. Yatabiriwa mafanikio makubwa.....
10. Uhamiaji wamsaka kabanga, . Ni kutokana na utata wa jina lake. ufadhili wa M23 wahusishwa... mwenyewe ajikanyagakanyaga kwenye maelezo yake. Busara za mwenyekiti zamuepusha kuingia Lupango.... amwaga machozi kama mtoto mdogo..........
Tutaendelea kuwaletea updates................ Stay tuned......
1. Siri ya Evelyn Salt kuhamia singida yagundulika, fumanizi latajwa, Slave aweka mambo yote hadharani.
2. Mia saba yamfanya Mjapani pori Hiroaki Akahoshi atembee kwa miguu toka Mbagala hadi mbweni, mwenyewe asingizia ni mazoezi, afika akiwa hoi, ashindwa kutembea siku mbili.
3. ummu kulthum aonekana nyumbani kwa Baba V, uteuzi wa vyeo kwenye kamati mbalimbali za mahusiano watajwa kuwa sababu, atishia kuwaburuza mahakamani waandishi wa habari kama.wakimpiga picha.....
4. Siri yafichuka kuhusu Ban za mara kwa mara za Baba V, King'asti atupiwa lawama., mwenyewe ashindwa kukanusha...
5. Ukimya wa gfsonwin jukwaani wazua maswali, mengi yasemwa, Mr Rocky alonga. Asema mara ya mwisho alimuona amevaa tenite. Vin Diesel atajwa...
6. Kisa cha Madame B kumkimbia Chimbuvu chawekwa hadharani, viti maalumu CHADEMA vyatajwa, Ben Saanane ashikwa na kigugumizi.
7. Siri ya kilio cha Free Thinker yagundulika...., division Ziro form four yatajwa. mwenyewe asema anamwachia Mungu.
8. Kashfa nzito yamwangukia mzee Mtambuzi, ni kuhusu degree feki..., wizi wa vyeti watajwa.. Mwenyewe akimbilia kwa sangoma....
9 Bishanga kuanzisha bendi ya taarabu, yeye mwenyewe kuchuana na Mzee Yusuf. Saida kalori mkurugenzi msaidizi. Yatabiriwa mafanikio makubwa.....
10. Uhamiaji wamsaka kabanga, . Ni kutokana na utata wa jina lake. ufadhili wa M23 wahusishwa... mwenyewe ajikanyagakanyaga kwenye maelezo yake. Busara za mwenyekiti zamuepusha kuingia Lupango.... amwaga machozi kama mtoto mdogo..........
Tutaendelea kuwaletea updates................ Stay tuned......
Last edited by a moderator: