Jf Udaku Jumapili hii...

Jf Udaku Jumapili hii...

Baba V

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2010
Posts
19,479
Reaction score
9,546
Wadau mwandishi wenu wa kujitegemea chini ya uhariri wa Bishanga na TANMO natiririka kama ifuatavyo,,

1. Siri ya Evelyn Salt kuhamia singida yagundulika, fumanizi latajwa, Slave aweka mambo yote hadharani.

2. Mia saba yamfanya Mjapani pori Hiroaki Akahoshi atembee kwa miguu toka Mbagala hadi mbweni, mwenyewe asingizia ni mazoezi, afika akiwa hoi, ashindwa kutembea siku mbili.

3. ummu kulthum aonekana nyumbani kwa Baba V, uteuzi wa vyeo kwenye kamati mbalimbali za mahusiano watajwa kuwa sababu, atishia kuwaburuza mahakamani waandishi wa habari kama.wakimpiga picha.....

4. Siri yafichuka kuhusu Ban za mara kwa mara za Baba V, King'asti atupiwa lawama., mwenyewe ashindwa kukanusha...

5. Ukimya wa gfsonwin jukwaani wazua maswali, mengi yasemwa, Mr Rocky alonga. Asema mara ya mwisho alimuona amevaa tenite. Vin Diesel atajwa...

6. Kisa cha Madame B kumkimbia Chimbuvu chawekwa hadharani, viti maalumu CHADEMA vyatajwa, Ben Saanane ashikwa na kigugumizi.

7. Siri ya kilio cha Free Thinker yagundulika...., division Ziro form four yatajwa. mwenyewe asema anamwachia Mungu.

8. Kashfa nzito yamwangukia mzee Mtambuzi, ni kuhusu degree feki..., wizi wa vyeti watajwa.. Mwenyewe akimbilia kwa sangoma....

9 Bishanga kuanzisha bendi ya taarabu, yeye mwenyewe kuchuana na Mzee Yusuf. Saida kalori mkurugenzi msaidizi. Yatabiriwa mafanikio makubwa.....

10. Uhamiaji wamsaka kabanga, . Ni kutokana na utata wa jina lake. ufadhili wa M23 wahusishwa... mwenyewe ajikanyagakanyaga kwenye maelezo yake. Busara za mwenyekiti zamuepusha kuingia Lupango.... amwaga machozi kama mtoto mdogo..........

Tutaendelea kuwaletea updates................ Stay tuned......
 
Last edited by a moderator:
Eeh! Ngoja nitaitisha press conference kama zile za lucy kibaki. Bila hivyo nitakwida mwandishi!
 
Udaku wa leo umetulia. Big up mwandishi wetu Baba V
 
Last edited by a moderator:
Shem Madame B naona mambo yanakunyookea...wakaribia kuingia mjengoni atii
 
Last edited by a moderator:
Kha! Baba V nazidi kupitia wakati mgumu, baada ya LiBoLo kuifanyia mnya makitu mbaya
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Wadau mwandishi wenu wa kujitegemea chini ya uhariri wa Bishanga na TANMO natiririka kama ifuatavyo,,

1. Siri ya Evelyn Salt kuhamia singida yagundulika, fumanizi latajwa, Slave aweka mambo yote hadharani.

2. Mia saba yamfanya Mjapani pori Hiroaki Akahoshi atembee kwa miguu toka Mbagala hadi mbweni, mwenyewe asingizia ni mazoezi, afika akiwa hoi, ashindwa kutembea siku mbili.

3. ummu kulthum aonekana nyumbani kwa Baba V, uteuzi wa vyeo kwenye kamati mbalimbali za mahusiano watajwa kuwa sababu, atishia kuwaburuza mahakamani waandishi wa habari kama.wakimpiga picha.....

4. Siri yafichuka kuhusu Ban za mara kwa mara za Baba V, King'asti atupiwa lawama., mwenyewe ashindwa kukanusha...

5. Ukimya wa gfsonwin jukwaani wazua maswali, mengi yasemwa, Mr Rocky alonga. Asema mara ya mwisho alimuona amevaa tenite. Vin Diesel atajwa...

6. Kisa cha Madame B kumkimbia Chimbuvu chawekwa hadharani, viti maalumu CHADEMA vyatajwa, Ben Saanane ashikwa na kigugumizi.

7. Siri ya kilio cha Free Thinker yagundulika...., division Ziro form four yatajwa. mwenyewe asema anamwachia Mungu.

8. Kashfa nzito yamwangukia mzee Mtambuzi, ni kuhusu degree feki..., wizi wa vyeti watajwa.. Mwenyewe akimbilia kwa sangoma....

9 Bishanga kuanzisha bendi ya taarabu, yeye mwenyewe kuchuana na Mzee Yusuf. Saida kalori mkurugenzi msaidizi. Yatabiriwa mafanikio makubwa.....

10. Uhamiaji wamsaka kabanga, . Ni kutokana na utata wa jina lake. ufadhili wa M23 wahusishwa... mwenyewe ajikanyagakanyaga kwenye maelezo yake. Busara za mwenyekiti zamuepusha kuingia Lupango.... amwaga machozi kama mtoto mdogo..........

Tutaendelea kuwaletea updates................ Stay tuned......

Mkuu nimkata rufaa kwa sababu nilisoma online, sasa hawa jamaa nashangaa wananishikia bango, kwani hawajui mambo teknolojia...?


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom