ZENITH
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 1,057
- 973
Awali ya yote naomba kuwasilisha ombi kwa moderator wa jamvi hili tuwekewe ki-sub forum kinachohusu masuala ya magari,pikipiki,meli,ndege,train na kadhalika.Natamani tuwe na forum hii ili tuweze kujuzana maujanja mbali mbali kuhusu vitu tajwa hapo juu,tujuzane na kupeane ushauri kuhusu masuala ya ufundi,tushauriane ni gari,piki piki n.k ipi inayotamba au kumfaa mtu kutokana na mazingira yake,kipato chake na kazi zake pia.
Pia sio mbaya tukawa tunafanya head-to-head battle za magari mbali mbali kwa mfano;SUBARU IMPREZZA VERSUS VOLKSIWAGON GOLF R,tuongelee bei,fuel economy/fuel consumption,top speed,acceleration,durability,comfort,ukubwa wa engine,horse power na kadhalika.Pia hapa yafaa tujuzane kuhusu matoleo mapya yaliyoingia sokoni na yale tarajiwa.Halafu pia tunaweza kupambanisha kiwanda kimoja dhidi ya kingine kwa mfano YUTONG VS ZHONGTONG.
Kwa kuanzia tu,naomba mtu anisaidie kunipa ufafanuzi wa vitu vifuatavyo katika specifications za magari>>>>>>>>
(1)HORSE POWER
(2)CC
(3)Mtu anaposema engine hii ni 2.0 L engine ana maana gani.
Akhsanteni kwa kunitoa ushamba.
Pia sio mbaya tukawa tunafanya head-to-head battle za magari mbali mbali kwa mfano;SUBARU IMPREZZA VERSUS VOLKSIWAGON GOLF R,tuongelee bei,fuel economy/fuel consumption,top speed,acceleration,durability,comfort,ukubwa wa engine,horse power na kadhalika.Pia hapa yafaa tujuzane kuhusu matoleo mapya yaliyoingia sokoni na yale tarajiwa.Halafu pia tunaweza kupambanisha kiwanda kimoja dhidi ya kingine kwa mfano YUTONG VS ZHONGTONG.
Kwa kuanzia tu,naomba mtu anisaidie kunipa ufafanuzi wa vitu vifuatavyo katika specifications za magari>>>>>>>>
(1)HORSE POWER
(2)CC
(3)Mtu anaposema engine hii ni 2.0 L engine ana maana gani.
Akhsanteni kwa kunitoa ushamba.