Chocs
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 8,403
- 4,763
Mambo shem....ni salaam tu.
Mi sijambo shem langu
Kimya kingii mbona?
Salimie mkeo
Mambo shem....ni salaam tu.
Aika mbe!
Hahaa
Kidoogo najaribu
It's cold..........
....Vaa sweta weka na skaf shingoni shem
Duuuuuuh
Hahahahahahaaaa
Haya bwana ila sidhani kama atakuja na jibu tofauti
Hehehehe.......
Cheka unenepee...!!
Cheka unenepee...!!
Kiroho safiiii
Afu dogo hebu nikumbushe... hivi ni wewe unanidai au mimi nakudai..!?
Umeonesha njia kwa Mabilionea wa Arusha. Pamoja na yote hayo hodi hodi zikome kwa mke wangu Lady doctor mara ooh "naomba maji ya kunywa" hiyo tabia ife na ukachimbe kisima chako ili uyafaidi maji yako peke yako.
Jan 2014 wote tutakuwa JF TANZANITE