Jf nisaidieni kwa hili

Jf nisaidieni kwa hili

Reyna

Senior Member
Joined
May 19, 2013
Posts
122
Reaction score
28
Mimi ni msichana umri wangu miaka 22 niko Mwanza tatizo langu ni hili kila nikiamka asubuhi najikuta nimechanjwa na kitu kikali kama wembe. Tatizo hili lilianza baada ya kupanga nyumba maeneo flan hivi hapa mjini nilishi kama miezi miwili hivi ndio mambo yakaanza kila siku nikiamka najikuta nimechanjwa sehemu mbalimbali za mwili baada ya kuona mambo yamenishinda nikaamua kuhama na kuacha kodi yangu ya miezi nane niliishi miezi minne tuu baada ya kuhamia nyumba nyingime nimeishi kama mwezi mmoja hivi lile tatizo limeanza tena kiukweli nakosa amani sina raha kabisa sijui ni kitu gani hiki.
 
Mimi ni msichana umri wangu miaka 22 niko Mwanza tatizo langu ni hili kila nikiamka asubuhi najikuta nimechanjwa na kitu kikali kama wembe. Tatizo hili lilianza baada ya kupanga nyumba maeneo flan hivi hapa mjini nilishi kama miezi miwili hivi ndio mambo yakaanza kila siku nikiamka najikuta nimechanjwa sehemu mbalimbali za mwili baada ya kuona mambo yamenishinda nikaamua kuhama na kuacha kodi yangu ya miezi nane niliishi miezi minne tuu baada ya kuhamia nyumba nyingime nimeishi kama mwezi mmoja hivi lile tatizo limeanza tena kiukweli nakosa amani sina raha kabisa sijui ni kitu gani hiki.

kama upofree jaribu kuelezea ratiba yako ya siku nzima, kuanzia unapo amka mpaka muda unao lala. pia kama ukituelezea aina ya watu unaokuwa nao muda mwingi. etc
hii lazima itakuwa sikolojical ishue, coz zile dawa za kupitia kwenye pembe za nymba zilikua zinategemea minala ya anaologia kwenye ulimwengu wa digital ni mpaka ugonge hod
 
Nafanya kazi kwenye taasisi moja hapa mjini kwa hiyo huwa naamka asubuhi naenda kazini mpaka saa tisa ndio narud nyumbani nikirud huwa nakaa ndani kw sababu huwa sipendi mazoea na majirani. Sijui ni kitu gani
 
Dah pole sana, ni mitaa gani hiyo dada angu? Kama ni mitaa ya Rufiji,mji mwema, k/hewa pole sana. Ukihamia huku kiseke hakunaga hiyo.

Au nenda kwa Laurent Magike namuaminia sana yule mzee, sikiliza 103.3 Living water Fm
 
Dah pole sana, ni mitaa gani hiyo dada angu? Kama ni mitaa ya Rufiji,mji mwema, k/hewa pole sana. Ukihamia huku kiseke hakunaga hiyo.

Au nenda kwa Laurent Magike namuaminia sana yule mzee, sikiliza 103.3 Living water Fm
Nilikohama ndio Kilimahewa kwa sasa niko Unguja
 
K/hewa wakabaji wengi sana hadi huko maduka9 kote. Njoo kiseke dada huku hakuna waswahili na pia kuna kanisa la lvng wota, anza kwanza kwenda ijumaa ongea na Magike am sure atakusaidia
 
K/hewa wakabaji wengi sana hadi huko maduka9 kote. Njoo kiseke dada huku hakuna waswahili na pia kuna kanisa la lvng wota, anza kwanza kwenda ijumaa ongea na Magike am sure atakusaidia

Ahsante ntafanya hivyo
 
dada kuhama siyo suruhu utakimbia mpaka lini? dawa ni YESU nenda makanisa ya S.D.A najua watakusaidia kwani watafunga na kuomba kwaajiri yako
 
Nafanya kazi kwenye taasisi moja hapa mjini kwa hiyo huwa naamka asubuhi naenda kazini mpaka saa tisa ndio narud nyumbani nikirud huwa nakaa ndani kw sababu huwa sipendi mazoea na majirani. Sijui ni kitu gani

Pole kwa hayo angukia imani yako na hakika muumba hatokutupa!!!!

Lakini na wewe msichana wa miaka 22 tu hutaki kushirikiana na majirani kwa nini??????Sihusianishi moja kwa moja na yanayokukuta ila huu si mwanzo mwema kwako,kaa kwa busara na wanaokuzunguka upate kujua mila na desturi zao hapo
 
Kabla yakufanyiwa maombi, jenga utaratibu wa wewe mwenyewe kujiombea na kuomba ulinzi wa kutoka kwa Mungu.. that simple..
 
dada kuhama siyo suruhu utakimbia mpaka lini? dawa ni YESU nenda makanisa ya S.D.A najua watakusaidia kwani watafunga na kuomba kwaajiri yako

Ahsante kwa ushauri ntaufanyia kazi
 
Pole kwa hayo angukia imani yako na hakika muumba hatokutupa!!!!

Lakini na wewe msichana wa miaka 22 tu hutaki kushirikiana na majirani kwa nini??????Sihusianishi moja kwa moja na yanayokukuta ila huu si mwanzo mwema kwako,kaa kwa busara na wanaokuzunguka upate kujua mila na desturi zao hapo

Dah hapa ninapoishi nyumba zko mbalimbali kdogo hazna mwingiliano kwenda kutafuta mazoea utaonekana waajabu
 
Dah hapa ninapoishi nyumba zko mbalimbali kdogo hazna mwingiliano kwenda kutafuta mazoea utaonekana waajabu

Mdogo wangu kukaa kwa busara na kutafuta mazoea ni vitu tofauti lakini!!!!!
 
Dada yangu kwanza pole sana. Kwakuwa hilo swala ni la kiroho basi unatakiwa ulitatue kiroho pia. Kweli umehama lakini ulimwengu wa roho pia umehama na wewe,ko tatizo lipo palepale. Kikubwa unatakiwa umkaribishe YESU,nina uhakika ataufukuza ulimwengu huo. Samahani mana sijui Imani yako.
 
Nafanya kazi kwenye taasisi moja hapa mjini kwa hiyo huwa naamka asubuhi naenda kazini mpaka saa tisa ndio narud nyumbani nikirud huwa nakaa ndani kw sababu huwa sipendi mazoea na majirani. Sijui ni kitu gani

mlilie Mungu atakuepusha na hayo mabalaa.
 
Back
Top Bottom