Jf nisaidieni kwa hili

Jf nisaidieni kwa hili

pole sana dada, ni mitihan ya nyumba za kukodi hiyo. Kuwa mstahamilivu huku ukitafuta ufumbuzi kwa wazee, usichoke yatakwisha
 
kama ni mkristo...nenda kanisani ukaombewe huko utapata msaada.
 
Hapo hapo ulipo shusha ndoo utapata maji ya uzima bure! Maana mito ya maji ya uzima inapita hapo. Usihame tena utaendelea kupoteza fedha zako kuziacha kwa wenye nyumba, jikabidhi kwa Yesu maisha yako ulinzi wa Mungu utakuzunguka. Kwa maelekezo zaidi ni PM.
 
dah unguja, uswazi...lazima utakuwa jirani yangu wewe sema hatujuani... ni pm niwe nakupa kampani. unawajua kuku wa malikusema, anyway kwa tatizo lako fanya maombi sana, ili usichanganye maombi na ushirikina hiyo itakuwa shirki na ni zambi kubwa.
 
dah unguja, uswazi...lazima utakuwa jirani yangu wewe sema hatujuani... ni pm niwe nakupa kampani. unawajua kuku wa malikusema, anyway kwa tatizo lako fanya maombi sana, ili usichanganye maombi na ushirikina hiyo itakuwa shirki na ni zambi kubwa.

Ha ha haaa naona mambo ya pm hapa..hope utapata company
 
... wee kamata Castle Milk zako mbili, tatu ... chapa usingizi amkia kwenye supu ya sato hapo Ng'osha Bar, kisha nenda kazini kwenye Taasisi unayoitumikia!! Usisahau kushusha chandarua, mbu wa Mwanza ni zaidi ya hao "wanaokuchanja" usiku!!
 
Hapo hapo ulipo shusha ndoo utapata maji ya uzima bure! Maana mito ya maji ya uzima inapita hapo. Usihame tena utaendelea kupoteza fedha zako kuziacha kwa wenye nyumba, jikabidhi kwa Yesu maisha yako ulinzi wa Mungu utakuzunguka. Kwa maelekezo zaidi ni PM.

Ahsante
 
... wee kamata Castle Milk zako mbili, tatu ... chapa usingizi amkia kwenye supu ya sato hapo Ng'osha Bar, kisha nenda kazini kwenye Taasisi unayoitumikia!! Usisahau kushusha chandarua, mbu wa Mwanza ni zaidi ya hao "wanaokuchanja" usiku!!

Hahahaaa poa
 
dah unguja, uswazi...lazima utakuwa jirani yangu wewe sema hatujuani... ni pm niwe nakupa kampani. unawajua kuku wa malikusema, anyway kwa tatizo lako fanya maombi sana, ili usichanganye maombi na ushirikina hiyo itakuwa shirki na ni zambi kubwa.

Kuku wa malikusema wana nini? mboni ni watamu sana
 
Mh asijekuwa ana sleepwalk huyu ikisha anajichanja mwenyewe??Nakushauri siku ukilala umuombe mtu akuchunge usiku mzima au ujirecord na video camera uchunguze kuhusu suala hilo
 
Back
Top Bottom