JF Mobile Haifunguki katika simu yangu

JF Mobile Haifunguki katika simu yangu

anjnr

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2010
Posts
539
Reaction score
208
Ni kama siku tatu au nne sasa napata tatizo la jf app kwenye simu yangu kila nikifungua inakataa na kuleta message kwamba "check with the forum administrator" sijui hii shida ipo kwangu tu au ni tatizo la system? Naombeni msaada. Natumia Huawei Ideos ya android platform.
 
Shida iko kwako tu, wengine tunaipata JF kama kawaida.
 
Hata mimi JF app Android haifunguki vilevile JF tapatalk.
 
Hata mimi application ilishagomaga kabisaaa. Nna mpango wa kuhamia kinyumba kwa Maxence Melo manake nshachoshwa.
 
Last edited by a moderator:
Kulikuwa kuna tatizo kidogo la kiufundi lakini sasa limerekebishwa. Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza na utakaojitokeza.
 
Kulikuwa kuna tatizo kidogo la kiufundi lakini sasa limerekebishwa. Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza na utakaojitokeza.
Usumbufu uliojitokeza sawa, utakaojitokeza mmh! hapajakaa vizuri ina maana tutegemee problems tena?
 
Ni kweli matatizo yameshaanza tena. Basi mtujulishe yakiisha bana!
 
Hhaaaa mods sipati picha mitusi mngekuwa mnaipata kama tungekuwa tunalipia hii jf
 
Thanks walioshughulikia hili sasa Ndo naingia ndani ya jamiiforums baada ya siku Tatu
 
hata mimi naona now iko fresh, nilikuwa nnatumia browsa
 
Tatizo limeisha lakini mimi natumia Blackberry picha hazionekani kabisa
 
kama kawaida weny smart4n ndo mnasumbuka m mweny kitoch kinapiga mzigo km kawaida c unaona comment hii
 
Back
Top Bottom