Now i can see clearly after you have changed your avatar, now you a girl sweet 16what do you think??
Khaaa!!! Unatusingizia bure huwa hatutoi macho hata kidogomuache kuwatolea macho hasa kwenye manyonyoz,titiz,miguuz and makalioz am out msinipige bureeeeeeeeee
Sehemu zipi TF???Mimi nataka nikupeleke physically kwenye hizo sehemu kutoa direction sijui lol
Khaaaaa . . . poa bana. Kuwa mpole basi . . . . No.8 si umeiona? Au kwa kuwa uko single and not searching . . .
Soo good to be true . . . . Though Copy, modify and paste . . . haaaa haaa
Now i can see clearly after you have changed your avatar, now you a girl sweet 16
Ushauri wangu ni kwa wanaume wenzangu kuzingatia suala la kushirikisha mwili kwenye mazoezi ya mara kwa mara pamoja na kuzingatia mambo ya lishe Bora ili kuepuka kuota vitambi, Ulabu pia tuupige kwa staha mazee (kwa wale mnaotumia) pamoja na kitimoto, ili tuweze kuzitimizia mahitaji muhimu familia zetu (kwa wenye familia). Kingine kwa majanki wenzangu, tujifunze kuwa really manake utakuta mtu hana kitu lakini kujionesha kuwa ni kidume bora basi yuko radhi kukopa hela ili ampeleke manzi yake sehemu za matawi ya juu, mwisho wa siku uzee unatusubiri wakuu, kuna majukumu ya kifamilia inabidi tuanze kujiandaa ingali bado mapema.
Oooops, nadhani nimetoa maelezo nje ya mwongozo uliotoa mkuu Superman, niwie radhi kwa hilo...
Nikikupeleka hautorudiSehemu zipi TF???
<br />DA niaje?<br />
<br />
Why?<br />
<br />
Kuna watu bado wanafikiri siku hizi kuwa na gari ni utajiri kumbe wala siyo.<br />
<br />
Kama ni mtu wa Budget unaweza kununua Vitz kwa bei chini ya $ 500 toka Japani. badala ya kuanzia $ 1500 kama wengi wanavyouza<br />
<br />
Ukanunua Range Rover Sports Supercharger kwa bei isiyozidi $ 30,000 badala ya kuanzia $ 100,000<br />
<br />
BMW X5/X6 kwa bei ya wastani wa $ 15-20,000 badala ya kuanzia $ 50,000<br />
<br />
Bei zote ni FoB.<br />
<br />
My favourates ni:<br />
<br />
<a href="http://www.japanesevehicles.com" target="_blank">www.japanesevehicles.com</a> - Ukitaka quality grade lakini bei juu kiasi<br />
<a href="http://www.Beforward.jp" target="_blank">www.Beforward.jp</a> - Ukitaka bei poa za kutupa lakini gari nzuri.<br />
<a href="http://www.tradecareview.com" target="_blank">www.tradecareview.com</a> - Web portal ya site nyingi. Kuwa makini tumia paytrade<br />
<a href="http://www.sakura-automobiles.com" target="_blank">www.sakura-automobiles.com</a> - Ukitaka mabasi kwa bei poa
muache kuwatolea macho hasa kwenye manyonyoz,titiz,miguuz and makalioz am out msinipige bureeeeeeeeee
Aisee!! Namba 1 nilitaka nikwambie jana nikastuka nikakaa kimya kumbe imesaidiahahahahahha lol
mmmhh 16 duuhhh
i don't wana be 16 u gona make me cry now hahahahah lol
Basi ngoja nifanye maombi kwanza then nakuja unipeleke! Yaonekana hiyo sehem sio ya kawaida eeh?Nikikupeleka hautorudi
Mkuu hawa jamaa nafikiri huwa wanauza nguo kwa sababu ya designer nakumbuka tulienda kununua suti za harusi just because designer wa suti ni NEXT basi bei yake sitaki kusema siku hiyo niliona mbona balaa lakini kitu ukiisha kivaa mwilini unasahau hata kama ulinunua laki 5, wana selection nzuri ya viatu nilishangaa nilipopata viatu vya jamaa wanaitwa RIVER ISLAND.
kwasababu tunawapenda na bila cc mafanikio kwenu ni kidogo sana,sawa tunategemeana but mnatutegemea zaidiOriginally Posted by TANMO
Hawa washika viwembe mbona wamejaa humu?
juzi walinikosa kosa na viwembe vyao nilipoingia kule kwao kwa bahati mbaya hawa,,
Leo wamechukua nafasi ya akina Baba hapa, Lol..............
Mkuu next time ukitaka kwenda ni PM.
Namjua mtoto wa Owner ambaye ni msimamizi. Kuna vidiscount fulani vya kishikaji viko poa.
Halafu pia kuna duka karibu na Rozana samora na lile opposite Mavuno House. Liko poa pia.
ah ah ah usijali nimeiona lkn mi bado mdogo mda ukifika tu jamaa atafika bei na atajua kuwa namfaa zana si unajua mambo mengine ya interview ni ya kichumbani zaidi,sasa niliyenae ni wa kitanga anaanzia wali na chapai za nazi,then tunaenda kucheza mdumange hukoooooooooooooooooooo