JF Member wengi hawana hela ila wanajiita Great Thinkers, Kivipi?

JF Member wengi hawana hela ila wanajiita Great Thinkers, Kivipi?

SISIS

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2019
Posts
11,084
Reaction score
3,555
Huu uzi ukiingia kichwa kichwa utaishia kuwa na hasira halafu utatoka bila bila

Ila ukiwa makini utatoka na kitu hapa

Nimeweka huu uzi baada ya Juzi kuweka tangazo langu la kuuza ac na vitu vingi tu tokea kitambo ila nikaja kugundua jf member wengi humu ni pangu pakavu tia mchuzi hela hamna

Mara nyingi watu wa jf huwaona watu wa istagram na facebook kama watu watoto ma wasiojielewa ila cha kushangaza Matajri wengi wapo instagram mimi nikiwa shahidi

Nilianza biashara viatu 2020 nikaanza kutangaza humu ila niliishia kupata hela ya kula tu na watu wachache sana, ila kuna mtu akanishauri nikatangaze facebook na instagram nilivyoelekea kule ndani ya miaka 3 tu instagram ilinipa wateja wengi nikafungua na duka yaani ilinileta kwenye maisha ya ndoto zangu ila nikajiuliza kwa nini jf ni pagumu kutoka kibiashara?

Juzi niliweka Ac hapa tena nlikuwa nauza kwa bei chee tu sh 690000 kama kawaida watu humu wengi wana zarau na hela hawana nikaishia kuona blaa blaa na masihara mara mtu anacoment laki 4 ipo mfuko wa shati mwingine ananiita mimi winga siku 3 sikupata mteja hapa

Basi nikaingia instagram nikalipia tangazo 5400 dola mbili nikatangaza kuwa nauza ac na vigezo vyake yaani ndani ya masaa machechs watu walikuwa wanagombania tangazo nililiweka usiku asubuhi saa 12 mteja akadamkia kwangu akatest akalipa akasepa nayo chap tu na wengine bado sim zikawa zinaita yaani instagram watu wana hela

Nilishawahi kuweka tangazo hapa jf Gari inauzwa bei chee tu crown no E KWA Milioni 13 tu ilikuwa inahitajika hela ya haraka ila kama kawaida watu hapa pesa ni ya mawazo ila kuja kutangaza insta ni chap niliuza nikaswma why jf?

Inatagram weka hata Range rover unauza milioni 300 shida chuma kiwe kizima na bei sio ya tamaa masaa 12 mengi unauza yaani watu wa kule pesa ipo sio ya kitoto na matajiri wengi hawatumii jf sijui ni kwa nini

Sasa how Come Great thinkers wengi humu hamna hela?

Jf kwa ushauri wa vilinge vya waganga wa kienyeji na mambo ya ushirikina tu wataalam wapo kama wote ,magonjwa watu wa msaada utawapata hapo napaheshimu ila michongo ya hela humu hapana

Jamii forum member wengi wana roho za kimaskini na wajuaji yaani utakuta umeweka tangazo lako maybe unahza ist yako nzuri tu mtu anakuja anasema gari mbovu , mwingine sio bei yake yaani ilimradi mtu aharibu muwe wote maskini

Ukitaka utoke chap kimaisha tangaza biashara yako instagram au fb hutojutia kule.
 
Jf ina watumiaji wachache ukilinganisha na hiyo mitandao ulioitaja. Idadi kubwa ya watu insta na facebook maana yake uwezekano mkubwa zaidi wa kupata mteja.

Pili, Jf ni mtandao umejenga mazoea kwamba members wake lazima watumie fake identity. Kwaiyo inakua ngumu mtu kukubali mkutane ana kwa ana. Sio biashara tu hata sehemu ya starehe mfano nenda kitambaa cheupe halafu sema upo pale member wa jf ajisogeze mjuane. Hata kama kuna wanajf hapo kitambaa hakuna atakaejionyesha

Halafu suala la mtu kuwa great thinker halina uhusiano mkubwa na mtu kuwa na hela katika dunia ya sasa ambayo kutoboa inategemea zaidi connection. Katika dunia ambayo wenye nafasi wanaua innovation minds ili kuweza kutengeneza njia rahisi kwa ndugu na watoto wao, intelligent capability haitakusaidia kivile kama haupo kwenye system
 
Huu uzi ukiingia kichwa kichwa utaishia kuwa na hasira halafu utatoka bila bila

Ila ukiwa makini utatoka na kitu hapa

Nimeweka huu uzi baada ya Juzi kuweka tangazo langu la kuuza ac na vitu vingi tu tokea kitambo ila nikaja kugundua jf member wengi humu ni pangu pakavu tia mchuzi hela hamna

Mara nyingi watu wa jf huwaona watu wa istagram na facebook kama watu watoto ma wasiojielewa ila cha kushangaza Matajri wengi wapo instagram mimi nikiwa shahidi

Nilianza biashara viatu 2020 nikaanza kutangaza humu ila niliishia kupata hela ya kula tu na watu wachache sana, ila kuna mtu akanishauri nikatangaze facebook na instagram nilivyoelekea kule ndani ya miaka 3 tu instagram ilinipa wateja wengi nikafungua na duka yaani ilinileta kwenye maisha ya ndoto zangu ila nikajiuliza kwa nini jf ni pagumu kutoka kibiashara?

Juzi niliweka Ac hapa tena nlikuwa nauza kwa bei chee tu sh 690000 kama kawaida watu humu wengi wana zarau na hela hawana nikaishia kuona blaa blaa na masihara mara mtu anacoment laki 4 ipo mfuko wa shati mwingine ananiita mimi winga siku 3 sikupata mteja hapa

Basi nikaingia instagram nikalipia tangazo 5400 dola mbili nikatangaza kuwa nauza ac na vigezo vyake yaani ndani ya masaa machechs watu walikuwa wanagombania tangazo nililiweka usiku asubuhi saa 12 mteja akadamkia kwangu akatest akalipa akasepa nayo chap tu na wengine bado sim zikawa zinaita yaani instagram watu wana hela

Nilishawahi kuweka tangazo hapa jf Gari inauzwa bei chee tu crown no E KWA Milioni 13 tu ilikuwa inahitajika hela ya haraka ila kama kawaida watu hapa pesa ni ya mawazo ila kuja kutangaza insta ni chap niliuza nikaswma why jf?
Kwa kuwa umejua ukweli peleka huko matangazo yote mkuu..
 
Jf ina watumiaji wachache ukilinganisha na hiyo mitandao ulioitaja. Idadi kubwa ya watu insta na facebook maana yake uwezekano mkubwa zaidi wa kupata mteja.

Pili, Jf ni mtandao umejenga mazoea kwamba members wake lazima watumie fake identity. Kwaiyo inakua ngumu mtu kukubali mkutane ana kwa ana. Sio biashara tu hata sehemu ya starehe mfano nenda kitambaa cheupe halafu sema upo pale member wa jf ajisogeze mjuane. Hata kama kuna wanajf hapo kitambaa hakuna atakaejionyesha

Halafu suala la mtu kuwa great thinker halina uhusiano mkubwa na mtu kuwa na hela katika dunia ya sasa ambayo kutoboa inategemea zaidi connection. Katika dunia ambayo wenye nafasi wanaua innovation minds ili kuweza kutengeneza njia rahisi kwa ndugu na watoto wao, intelligent capability haitakusaidia kivile kama haupo kwenye system
Mkuu jaribu kupandisha Uzi unaohusu kujipambania uone vita utakayo pigwa hum
 
Kivipi mkuu?
Mkuu hapo juu anachosema Yuko sahihi, wengi wa watu walioko hum ni wajuaji sana wenye roho za kimasikini ni wepesi wa kuponda kwa Kila jambo bla bla kibao huko wote wanajiona matajiri maisha safi kumbe unga unga mwana. Ref Uzi alioweka Mshana Jr kuchichangia jf michango iliotoka! Watu walimshambulia sana yani mtu kuachia hata ten tu anaona kaibiwa huku nyuma ya keyboard anajiita mambo safi
 
Back
Top Bottom