SISIS
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 11,084
- 3,555
Huu uzi ukiingia kichwa kichwa utaishia kuwa na hasira halafu utatoka bila bila
Ila ukiwa makini utatoka na kitu hapa
Nimeweka huu uzi baada ya Juzi kuweka tangazo langu la kuuza ac na vitu vingi tu tokea kitambo ila nikaja kugundua jf member wengi humu ni pangu pakavu tia mchuzi hela hamna
Mara nyingi watu wa jf huwaona watu wa istagram na facebook kama watu watoto ma wasiojielewa ila cha kushangaza Matajri wengi wapo instagram mimi nikiwa shahidi
Nilianza biashara viatu 2020 nikaanza kutangaza humu ila niliishia kupata hela ya kula tu na watu wachache sana, ila kuna mtu akanishauri nikatangaze facebook na instagram nilivyoelekea kule ndani ya miaka 3 tu instagram ilinipa wateja wengi nikafungua na duka yaani ilinileta kwenye maisha ya ndoto zangu ila nikajiuliza kwa nini jf ni pagumu kutoka kibiashara?
Juzi niliweka Ac hapa tena nlikuwa nauza kwa bei chee tu sh 690000 kama kawaida watu humu wengi wana zarau na hela hawana nikaishia kuona blaa blaa na masihara mara mtu anacoment laki 4 ipo mfuko wa shati mwingine ananiita mimi winga siku 3 sikupata mteja hapa
Basi nikaingia instagram nikalipia tangazo 5400 dola mbili nikatangaza kuwa nauza ac na vigezo vyake yaani ndani ya masaa machechs watu walikuwa wanagombania tangazo nililiweka usiku asubuhi saa 12 mteja akadamkia kwangu akatest akalipa akasepa nayo chap tu na wengine bado sim zikawa zinaita yaani instagram watu wana hela
Nilishawahi kuweka tangazo hapa jf Gari inauzwa bei chee tu crown no E KWA Milioni 13 tu ilikuwa inahitajika hela ya haraka ila kama kawaida watu hapa pesa ni ya mawazo ila kuja kutangaza insta ni chap niliuza nikaswma why jf?
Inatagram weka hata Range rover unauza milioni 300 shida chuma kiwe kizima na bei sio ya tamaa masaa 12 mengi unauza yaani watu wa kule pesa ipo sio ya kitoto na matajiri wengi hawatumii jf sijui ni kwa nini
Sasa how Come Great thinkers wengi humu hamna hela?
Jf kwa ushauri wa vilinge vya waganga wa kienyeji na mambo ya ushirikina tu wataalam wapo kama wote ,magonjwa watu wa msaada utawapata hapo napaheshimu ila michongo ya hela humu hapana
Jamii forum member wengi wana roho za kimaskini na wajuaji yaani utakuta umeweka tangazo lako maybe unahza ist yako nzuri tu mtu anakuja anasema gari mbovu , mwingine sio bei yake yaani ilimradi mtu aharibu muwe wote maskini
Ukitaka utoke chap kimaisha tangaza biashara yako instagram au fb hutojutia kule.
Ila ukiwa makini utatoka na kitu hapa
Nimeweka huu uzi baada ya Juzi kuweka tangazo langu la kuuza ac na vitu vingi tu tokea kitambo ila nikaja kugundua jf member wengi humu ni pangu pakavu tia mchuzi hela hamna
Mara nyingi watu wa jf huwaona watu wa istagram na facebook kama watu watoto ma wasiojielewa ila cha kushangaza Matajri wengi wapo instagram mimi nikiwa shahidi
Nilianza biashara viatu 2020 nikaanza kutangaza humu ila niliishia kupata hela ya kula tu na watu wachache sana, ila kuna mtu akanishauri nikatangaze facebook na instagram nilivyoelekea kule ndani ya miaka 3 tu instagram ilinipa wateja wengi nikafungua na duka yaani ilinileta kwenye maisha ya ndoto zangu ila nikajiuliza kwa nini jf ni pagumu kutoka kibiashara?
Juzi niliweka Ac hapa tena nlikuwa nauza kwa bei chee tu sh 690000 kama kawaida watu humu wengi wana zarau na hela hawana nikaishia kuona blaa blaa na masihara mara mtu anacoment laki 4 ipo mfuko wa shati mwingine ananiita mimi winga siku 3 sikupata mteja hapa
Basi nikaingia instagram nikalipia tangazo 5400 dola mbili nikatangaza kuwa nauza ac na vigezo vyake yaani ndani ya masaa machechs watu walikuwa wanagombania tangazo nililiweka usiku asubuhi saa 12 mteja akadamkia kwangu akatest akalipa akasepa nayo chap tu na wengine bado sim zikawa zinaita yaani instagram watu wana hela
Nilishawahi kuweka tangazo hapa jf Gari inauzwa bei chee tu crown no E KWA Milioni 13 tu ilikuwa inahitajika hela ya haraka ila kama kawaida watu hapa pesa ni ya mawazo ila kuja kutangaza insta ni chap niliuza nikaswma why jf?
Inatagram weka hata Range rover unauza milioni 300 shida chuma kiwe kizima na bei sio ya tamaa masaa 12 mengi unauza yaani watu wa kule pesa ipo sio ya kitoto na matajiri wengi hawatumii jf sijui ni kwa nini
Sasa how Come Great thinkers wengi humu hamna hela?
Jf kwa ushauri wa vilinge vya waganga wa kienyeji na mambo ya ushirikina tu wataalam wapo kama wote ,magonjwa watu wa msaada utawapata hapo napaheshimu ila michongo ya hela humu hapana
Jamii forum member wengi wana roho za kimaskini na wajuaji yaani utakuta umeweka tangazo lako maybe unahza ist yako nzuri tu mtu anakuja anasema gari mbovu , mwingine sio bei yake yaani ilimradi mtu aharibu muwe wote maskini
Ukitaka utoke chap kimaisha tangaza biashara yako instagram au fb hutojutia kule.