Wi-Fi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,091
- 1,378
zawadi zinaendelea kupangwa na bodi best,wewe kazi yako nikutaja nani ni nani
Where are the terms and conditions??
zawadi zinaendelea kupangwa na bodi best,wewe kazi yako nikutaja nani ni nani
Mi naona fabinyo ni bora muwaweka katika kategoria mbalimbali katika majukwaa kuna watu wanakubalika katika jukwaa husika mfano jukwaa la wakubwa
Ningeona lamsingi kama kuna mtu hapa angetoa thread kuwa yeye amekuwa Tanzanite member,gold member,premium member,silver member hata Invisible anaweza akawapa ofa ya miezi miwili bure lakini siyo hizi bra bra ila azisaidii kitu japo mnamchango mkubwa kwenye hii forum sikatai!
mbona wengi wameelewa?anzisha basi hiyo wewe kadogoo hamna shida!!Kila m2 huwa anapenda kivyake huwezi amlia mwenzako, ndo maana wababa fulani hupenda wembamba akipewa mnene mzee hashuti vile vile wengine hupenda wanene ukimpa mwembamba misuri haishutuki. Sasa wewe nawe umekosa la kuandika? mwingine akiona issue fulani anaona haina mshiko wakati mwingine anaona inayo. Ningekuelewa ungesema ni issue gani iliyochangiwa na memba wengi hapo angalau inge elewa.
mbona wengi wameelewa?anzisha basi hiyo wewe kadogoo hamna shida!!
Wapendwa,asifiwe kristu!asalym aleukumu!..protokal zote zimezingatiwa
Basi pasipo kupoteza muda,nimepewa jukumu na invisible la kufanya zoezi tajwa hapo juu ili ikifika tarehe 31 tupate mdau mkali na aliyefanya vizuuuri zaidi (based on his/her posts) kwa mwaka huu unaoishia!kazi kwenu,kupendekeza mdau huyo kuanzia sasa. Asanteni,zawadi nono zitatolewa kwa wadau ishirini wakali.
Wapendwa,asifiwe kristu!asalym aleukumu!..protokal zote zimezingatiwa
Basi pasipo kupoteza muda,nimepewa jukumu na invisible la kufanya zoezi tajwa hapo juu ili ikifika tarehe 31 tupate mdau mkali na aliyefanya vizuuuri zaidi (based on his/her posts) kwa mwaka huu unaoishia!kazi kwenu,kupendekeza mdau huyo kuanzia sasa. Asanteni,zawadi nono zitatolewa kwa wadau ishirini wakali.