Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,719
- 13,423
Hiyo nichagueni tu mimi wakuu, si munakumbuka ma point yangu, nina point ya kufa mtu.
Ningeona lamsingi kama kuna mtu hapa angetoa thread kuwa yeye amekuwa Tanzanite member,gold member,premium member,silver member hata Invisible anaweza akawapa ofa ya miezi miwili bure lakini siyo hizi bra bra ila azisaidii kitu japo mnamchango mkubwa kwenye hii forum sikatai!Wapendwa,asifiwe kristu!asalym aleukumu!..protokal zote zimezingatiwa
Basi pasipo kupoteza muda,nimepewa jukumu na invisible la kufanya zoezi tajwa hapo juu ili ikifika tarehe 31 tupate mdau mkali na aliyefanya vizuuuri zaidi (based on his/her posts) kwa mwaka huu unaoishia!kazi kwenu,kupendekeza mdau huyo kuanzia sasa. Asanteni,zawadi nono zitatolewa kwa wadau ishirini wakali.
Ningeona lamsingi kama kuna mtu hapa angetoa thread kuwa yeye amekuwa Tanzanite member,gold member,premium member,silver member hata Invisible anaweza akawapa ofa ya miezi miwili bure lakini siyo hizi bra bra ila azisaidii kitu japo mnamchango mkubwa kwenye hii forum sikatai!Wapendwa,asifiwe kristu!asalym aleukumu!..protokal zote zimezingatiwa
Basi pasipo kupoteza muda,nimepewa jukumu na invisible la kufanya zoezi tajwa hapo juu ili ikifika tarehe 31 tupate mdau mkali na aliyefanya vizuuuri zaidi (based on his/her posts) kwa mwaka huu unaoishia!kazi kwenu,kupendekeza mdau huyo kuanzia sasa. Asanteni,zawadi nono zitatolewa kwa wadau ishirini wakali.
Mkuu polisi hawana kazi,wape kazi yao wawajibike!!Jamaa mshiko wangu hadi leo hajanipa kudadadeeeeki. Halafu kila akiniona anakula kona.
Hiyo nichagueni tu mimi wakuu, si munakumbuka ma point yangu, nina point ya kufa mtu.
Jamaa mshiko wangu hadi leo hajanipa kudadadeeeeki. Halafu kila akiniona anakula kona.
Wapendwa,asifiwe kristu!asalym aleukumu!..protokal zote zimezingatiwa
Basi pasipo kupoteza muda,nimepewa jukumu na invisible la kufanya zoezi tajwa hapo juu ili ikifika tarehe 31 tupate mdau mkali na aliyefanya vizuuuri zaidi (based on his/her posts) kwa mwaka huu unaoishia!kazi kwenu,kupendekeza mdau huyo kuanzia sasa. Asanteni,zawadi nono zitatolewa kwa wadau ishirini wakali.