Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,984
Jamaa baada ya kupinga tungi akawaza kimasaburi akaona ni bora aende kumalima nyumba ya wenyeji, ile kufika akakuta mji mzima wameungeleja kwa masaburi yake akapandwa na wasira akaanza kupinda ghafla akamkanumba mmoja wao, sasa jamaa wamemlowasa na jana wamemlulu sijui watamlema au watamditopile.
Ongeza maneno yako au kosoa kama umeelewa.
Ongeza maneno yako au kosoa kama umeelewa.