JF ladies talk talk …...

JF ladies talk talk …...

thanx FL....ofcn napendelea vi skirts/vigauni vifupi kiac inategemeana kama nguo ya cku hiyo inaendana na heels ana cmple shoes, kote kote nipo, home mara nyingi ni vi kaptula la jeans/top, mihangaiko ya kawaida ni jeans tite/tshirt/top, ctumii make ups, wanja kwenye nyusi/lipgloss...handbag na shoes ndio ugonjwa wangu, ofcn na handabag iliyojaa makororkoro kibao, visuti/vitenge kwa kanisani...
 
lol hii mada imenivutia let me share some thing with u nice ladies.. kwa upande wangu napenda kuvaa nguo ndefu i mean kama sketi basi ndefu mara nyingine navaa hata baibui(hijabu), viatu simple shoes, nywele mara nyingi napenda kusuka rasta wivingi na wigi sio mzuka kwangu, napenda saana vidani kuanzia pete ya kidole hadi ya mguu, handbag ndogondogo sio mikubwa km ya safari tena sio zile za kuweka begani napenda za kushika mkononi ama kubana kwapani.. kwa upande wa cosmetic, napaka mafuta ya rinju, pamoja na alovera jelly, pafyum adorable spray. rangi yangu kubwa ya mavazi ni pinki... ni hayo tu kuhusu mimi
Love you all najua mko vere busy …:love:
Tupige story hapa napenda kujua kina dada mnapenda nini upande wa
wa mavazi, nywele ,viatu na mengineyo mwajiweka vip manake najua kila mtu anavitu vyake anavyopenda !
Natamani kuwaona siku moja wooote …..
Nikianza na List kama ifuatavyo!

Mimi Binafsi napendelea sana kusuka rasta or dread lakini nywele iko natural sometimes naachia afro shiraz popote utakaponiona lazima Napenda jeans tight na vitop top kumechisha
Napenda ma handbags na makorokoro kibao sina mkorogo napaka mafuta ya nazi usoni made in mimi mwenyewe no make up napenda nguo za vitenge za kushona nk nk
Nitaendelea

WOS..
MJ1
Nyamayao
Preta
Regia Mtema (GS)
Cheusimangala
BHT
Pear
Carmel
Ziondoughter
Michelle
Afrodenzi
Hellen .P
Diana Doube Diff
Miss Judith
Maria Roza
Remmy
Suzy
Firstlady
Da Mie
Shost
Asha D
Maty
LD
JS
Lizzy
Sweetlady
Wiselady
Dena Amsi
Gaga
Da Pretty
Husninyo
Pauline
Miss kelly
Nazjaz
Mama Brian
Catheleen
Shantel
Murefu
Egypswomen
Digna37
King'asti
Daughter
Caroline Danzi
RussianRoulette
...
bado naendelea
 
Mi napendelea kuvaa trousers na najickia huru sana kuliko nikivaa skirt/gauni ,japo skirt na gauni pia navaa but i prefer the short ones. I like high heels but due to the nature of my job basi most of the tym i wear simple shoes.
Napenda relaxed hair na kusuka rasta. I usually wear light make ups and i love perfumes( my favs are absolutely irresistible by givenchy na flower by kenzo). Lotion nnayoipenda ni vaseline cocoa butter.
 
We nyani ngabu na kaizer tutawamwagia tindikali.
 
of all wachangiaji hakuna aliyekiri kutumia mkorogo? mmm!! (yawn! yawn! ....)
 
of all wachangiaji hakuna aliyekiri kutumia mkorogo? mmm!! (yawn! yawn! ....)
Ndo ujue wadada wa Jf tuko juu, mungu katujalia Inshalla, why tutumie mkorogo??? Afu umeona wote tuko vry simple. Tupe hongera zetu basi.
 
Ndo ujue wadada wa Jf tuko juu, mungu katujalia Inshalla, why tutumie mkorogo??? Afu umeona wote tuko vry simple. Tupe hongera zetu basi.

hongereni sana wadada na wamama wa JF kwa kuwa simpo, ooops! Kumbe mmetushikia viwembe? Acheni noma Bana, lol...
 
Jamani mie nashauri tu. Sasa hivyo visketi vifupi mnavyo vaa vinatuchanganya, unakuta dada kavaa kisketi hata akitembea anakua anakivuta kwenda chini mbona mie naona ni usubufu. Au sometimes anakaa maeneo ya public yeye mwenyewe anaona soo, anachukua mkoba anaweka kwenye magoti, yote hii kwa nini? Haya yote tisa niambie akidondosha kitu public atakichukuaje, mwishowe unaweza kukipotezea kuona aibu mwenyewe af unajijengea mazingira ya kutongozwa bila kujua. Haya hivyo vitop navyo kitovu nje unaanza kutoonyesha michirizi ya tumbo, hii sio ishu mie nawashauri muwe mnavaa kama Salama Jabir au Fetty wa clouds hawa wanajistili. Mie hivyo vishot skets na vitop sivikubali na shida yake utaiona wahuni wakikuvagaa, wanachukua kiulani badilikeni msinishambulie ni mtazamo tu.
 
Upo Firstlady ni hivi,
Nguo:napendelea kuvaa kuendana na umbo langu pia kutokana na occasion. Mf. nikiwa beach basi lazima niwe na vazi la ufukweni mana napenda sana kuogelea.Kazini kikazi zaidi.. Kwenye sherehe kadhalika vazi rasmi la mtoko kuangaliana na mazingira ya hiyo sherehe yani kama na washkaji au wazee wetu..Pia nashona vitenge kadhaa na hakika natafutaga rangi/muundo wa mshono unaoendana nami..Sipendi kuvaa nguo oversize au imenibana wee mpaka nashindwa kuhema/kukaa..

Viatu:napenda flat, sneakers na hata high-heels inategemea navaa kwenda wapi au nimevaa nini..

Nywele: huwa napenda kuzitengeneza saluni yani ku-relax na kuzipasi zinyooke mara nyingine nabana stlye mbalimbali ila sijawahi kuvaa weaving na kusuka ni mara chache sana...

Make-ups: kwakweli hii idara naona bado sijaiwezea..mafuta ya nivea au baby johnson ndiyo napaka sanasana naongezea powder. laa, lip-shiner/glow huwa siachi kupaka kwenye lips.

Handbags: naona hapa ndio kwenyewe, nina rangi mbalimbali ambazo namechisha na viatu tu..yani handbags nazobeba lazima ziendane na viatu kwa rangi..

Accesories: Saa muhimu mkononi, bracelets na kidani shingoni kutokana na nilichovaa..mkanda pia kama niko nguo yenye kuhitaji basi haikosekani..
 
Upo Firstlady ni hivi,
Nguo:napendelea kuvaa kuendana na umbo langu pia kutokana na occasion. Mf. nikiwa beach basi lazima niwe na vazi la ufukweni mana napenda sana kuogelea.Kazini kikazi zaidi.. Kwenye sherehe kadhalika vazi rasmi la mtoko kuangaliana na mazingira ya hiyo sherehe yani kama na washkaji au wazee wetu..Pia nashona vitenge kadhaa na hakika natafutaga rangi/muundo wa mshono unaoendana nami..Sipendi kuvaa nguo oversize au imenibana wee mpaka nashindwa kuhema/kukaa..

Viatu:napenda flat, sneakers na hata high-heels inategemea navaa kwenda wapi au nimevaa nini..

Nywele: huwa napenda kuzitengeneza saluni yani ku-relax na kuzipasi zinyooke mara nyingine nabana stlye mbalimbali ila sijawahi kuvaa weaving na kusuka ni mara chache sana...

Make-ups: kwakweli hii idara naona bado sijaiwezea..mafuta ya nivea au baby johnson ndiyo napaka sanasana naongezea powder. laa, lip-shiner/glow huwa siachi kupaka kwenye lips.

Handbags: naona hapa ndio kwenyewe, nina rangi mbalimbali ambazo namechisha na viatu tu..yani handbags nazobeba lazima ziendane na viatu kwa rangi..

Accesories: Saa muhimu mkononi, bracelets na kidani shingoni kutokana na nilichovaa..mkanda pia kama niko nguo yenye kuhitaji basi haikosekani..
wanna join yaa honey....
 
Mi napendelea kuvaa trousers na najickia huru sana kuliko nikivaa skirt/gauni ,japo skirt na gauni pia navaa but i prefer the short ones. I like high heels but due to the nature of my job basi most of the tym i wear simple shoes.
Napenda relaxed hair na kusuka rasta. I usually wear light make ups and i love perfumes( my favs are absolutely irresistible by givenchy na flower by kenzo). Lotion nnayoipenda ni vaseline cocoa butter.


I guess you look awesome Graca.....hayo mawe hayo yakusanye tu kwanza.....😛lane:
 
FL leo sijui kwanini nimechelewa kuona hii thread. Nakuwa muwazi leo. Napenda perfume sana tu....
 
Mavazi: navaa nguo yeyote inayonifanya niwe huru,ninayejiamini na ninayojisikia kupendeza na kuuona mwili wangu mzuri zaidi.....sijaweza kuvaa kitenge,nguo za kushona wala suti....naona kama na complicate maisha na nakuwa mzee....maybe in future....!

Nywele: Sipendi wigi wala weaving wala rasta labda pale inapobidi....napendelea nywele zangu za asili na kuweka dawa kwa mbali

Viatu: napenda kuvaa viatu virefu na kama nina tembea muda mrefu nitavaa viatu flat

Handbags: napenda ziwe za kisichana na ziwe zilizobuniwa na designers wa kiitaliano

Make Up: ikinibidi but sipendi and its not my thing....ila lips lazima zirembwe...l.o.l

Accesories: napenda sana na najiona niliyepungukiwa kama sina kitu kwa mkono wangu,shingoni na masikioni....its a must for me

Thanks FL1,umenifanya nijifikirie...l.o.l
 
Back
Top Bottom