JF imenitia hasara na kuhatarisha ndoa yangu

JF imenitia hasara na kuhatarisha ndoa yangu

Mshuza2

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
11,555
Reaction score
17,947
Wakuu heshima kwenu

Ni kwa muda sasa nimekua mwanachama wa huu "mtandao" pendwa JF.Kilichonifanya nije mbele yenu wadau ni huu uraibu "addiction" ambao nimeutengeneza kutokana na hii JF.

Imefika hatua ni ugomvi na wife eti sina muda nae niko busy na simu muda wote.Kuna siku alivunja simu yangu baada ya kuona niko busy na simu anaongea simsikilizi.

Sio siri wadau haipiti siku bila kuchungulia majukwaa mbali mbali either kama mgeni au member kamili.Nimezoea JF kama sehemu pekee ya kupata vitu vipya hata TV sina time nayo.

Nadhani wadau tunaweza kushauriana angalau huu uraibu upungue,ndoa naipenda jamani.
 
Alivyo vunja simu ukanunua ingine sio?
ukwamwambia babe sorry ...sirudii tena?

Waswahili siku hizi mna mapenzi ya kuvunja vitu?
bado kuna siku atavunja tv akiona unatazama video ya shilole
au kuvunja vioo vya gari sababu unatazama wadada wanao pita nje
 
Hio hata Mie ilinikuta mwaka 2013 nilikua napenda sana JF nikajitafakari nikaona isiwe shida nikaremove JF app kwenye sim yangu nikaacha kuingia zaidi ya mwezi baadae nikarudi nikiwa nimejicontrol Hadi Leo sijaweka app kwa sim yangu naingia nikiwa na laptop tu
 
Duuuu! mm wf ndo ananilazimishaga kuja jf, tena na masimango juu! ooh wewe me gani siasa hufuatilii, eti nitaolewa!! teh teh!
 
Ni kweli kabisa mimi mwenyewe nipo.addicted na jf
 
Alivyo vunja simu ukanunua ingine sio?
ukwamwambia babe sorry ...sirudii tena?

Waswahili siku hizi mna mapenzi ya kuvunja vitu?
bado kuna siku atavunja tv akiona unatazama video ya shilole
au kuvunja vioo vya gari sababu unatazama wadada wanao pita nje

atamvunja na john chakutuna kisa kaerect kwa kuona watembea uchi
 
Haha smh! Haya ndio madhara ya kuchaguliwa mke na wazazi. Mfungulie account na yeye, halafu majadiliano yenu muwe mnafanya kupitia PM.
Mmmh sio kweli buana hizi smartphone zimekuja kuondoa nyege za watu kwakweli
watu wapo bize ni kusmartphonika tu
 
Back
Top Bottom