ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,707
- 57,211
Wakuu nisaidieni Ushauri wa kimawazo mdogo/rafiki wenu nimekuwa na mapenzi ya kupitiliza na simu yaani Sasa imekuwa too much.
Haipiti dakika tano sijachungulia simu yangu kuona nini kinaendelea hasa humu JF.Whatsap sio sana lakini JF ndo imenifanya nimekuwa mtumwa na sijui ni lini nitakuwa huru maana mambo ndo yanazidi kuwa mengi humu ndani.
Nikiamka asubuhi cha kwanza simu naingia JF Kucheki notification Kisha unread post.
Nikiwa nakula natafuta mada JF ya kusoma soma. Nikiwa kituoni nasubiri gari napitia pitia Jf nikiingia kwenye daladala hata Kama sijapata seat ya kukaa utakuta nakomaa na Jf hapo nimesimama tumebanana na abiria lakini lazima nitoe simu Kucheki JF.
Nikiwa kazini ndo usiseme yaani simu muda wote IPO kwenye chaji kisa JF.nimekuwa busy na Jf kiasi Cha kwamba Sina hata hamu ya kufanya mapenzi kwa Sasa yaani naona mwanamke wangu Ni JF.
Hivi hii Jf imewezaje kunikamata namna hii naandika kwa masikitiko makubwa naombeni mnipe ushauri wa kimawazo ili niepukane na matatizo Zaidi ya kisaiokolijia.
Lakini kwa wakati huohuo Jf pia imenisaidia Sana hasa kuniepusha na Mambo maovu Mambo mabaya mabaya.
Kwa mfano stori zikinogaga humu ndani nasahau kabisa hata kwenda bar au kwenda maeneo hatarishi.najikuta na enjoy tu humu ndani
Ndo hivyo wakuu Faida zipo Ila hasara Nako zinaninyemelea Kama nilivyoainisha hapo juu.
Yaani imefikia wakati nimekuwa mvivu mpaka kwenda Kusali msikitini kwa sababu ya Jf.MWENYEZIMungu nisaidie mja wako niweze kujiwekea ratiba nzuri ya kuchungulia JF.
NYONGEZA: MELLO NAOMBA KAMA KUNA NAFASI YA AJIRA HAPO OFISINI NIWE HATA MOD HII ITANISAIDIA SI NITAKUWA NATUMIA JF HUKU NIKIJUA NIPO KAZINI KWANGU.
Haipiti dakika tano sijachungulia simu yangu kuona nini kinaendelea hasa humu JF.Whatsap sio sana lakini JF ndo imenifanya nimekuwa mtumwa na sijui ni lini nitakuwa huru maana mambo ndo yanazidi kuwa mengi humu ndani.
Nikiamka asubuhi cha kwanza simu naingia JF Kucheki notification Kisha unread post.
Nikiwa nakula natafuta mada JF ya kusoma soma. Nikiwa kituoni nasubiri gari napitia pitia Jf nikiingia kwenye daladala hata Kama sijapata seat ya kukaa utakuta nakomaa na Jf hapo nimesimama tumebanana na abiria lakini lazima nitoe simu Kucheki JF.
Nikiwa kazini ndo usiseme yaani simu muda wote IPO kwenye chaji kisa JF.nimekuwa busy na Jf kiasi Cha kwamba Sina hata hamu ya kufanya mapenzi kwa Sasa yaani naona mwanamke wangu Ni JF.
Hivi hii Jf imewezaje kunikamata namna hii naandika kwa masikitiko makubwa naombeni mnipe ushauri wa kimawazo ili niepukane na matatizo Zaidi ya kisaiokolijia.
Lakini kwa wakati huohuo Jf pia imenisaidia Sana hasa kuniepusha na Mambo maovu Mambo mabaya mabaya.
Kwa mfano stori zikinogaga humu ndani nasahau kabisa hata kwenda bar au kwenda maeneo hatarishi.najikuta na enjoy tu humu ndani
Ndo hivyo wakuu Faida zipo Ila hasara Nako zinaninyemelea Kama nilivyoainisha hapo juu.
Yaani imefikia wakati nimekuwa mvivu mpaka kwenda Kusali msikitini kwa sababu ya Jf.MWENYEZIMungu nisaidie mja wako niweze kujiwekea ratiba nzuri ya kuchungulia JF.
NYONGEZA: MELLO NAOMBA KAMA KUNA NAFASI YA AJIRA HAPO OFISINI NIWE HATA MOD HII ITANISAIDIA SI NITAKUWA NATUMIA JF HUKU NIKIJUA NIPO KAZINI KWANGU.
uko mkoa gani mkuu... maana kila mkoa na wanawake wa tofauti kiuzur na maumbile.?