mungeweka na idadai ya waliochangia mpaka sasa ili kama nafasi imejaa ili wengine tusiendelee kuchangia maana binafsi ndio nimeuona huu uzi leo ila naunga mkono saana hoja. japo kosa ni watu sabini hali ya kuwa tupo maelfu humu.
mungeweka na idadai ya waliochangia mpaka sasa ili kama nafasi imejaa ili wengine tusiendelee kuchangia maana binafsi ndio nimeuona huu uzi leo ila naunga mkono saana hoja. japo kosa ni watu sabini hali ya kuwa tupo maelfu humu.