Tegemeeni kupata fake ID nyingine after decembre.mfano humu kuna wanao juana na wasio juana pia kuna wanaofahamiana na wasio fahamiana.swali langu ni je hawa wote watajuana na kufahamiana?nini maana ya ID fake?(soma juu).nini lengo lako halisi?!je isipo fanyika ama kwa sababu zilizopo ama zisizo kuwepo,kifuatacho nn?
hii party ni yako au wana jf? kwann wao wenyewe ndo wasingejipangia cha kufanya na pakukutana ila ushawapangia kitu cha kufanya na pa kwenda kama watoto wadgo
hii party ni yako au wana jf? kwann wao wenyewe ndo wasingejipangia cha kufanya na pakukutana ila ushawapangia kitu cha kufanya na pa kwenda kama watoto wadgo