Kuna tatizo nahisi liko psychologically yaan nina hulka ya kuwaza sana na kujikosoa hata ktk issue za msingi na siipendi hali hii kwani inanifanya niwaze mbali na kufikwa na uwoga,kitu kinachoathiri Afya yangu na FUTURE.at large.Niliepukeje hili?
Kuna tatizo nahisi liko psychologically yaan nina hulka ya kuwaza sana na kujikosoa hata ktk issue za msingi na siipendi hali hii kwani inanifanya niwaze mbali na kufikwa na uwoga,kitu kinachoathiri Afya yangu na FUTURE.at large.Niliepukeje hili?
Una DEPRESSION!Depression inasababishwa na upungufu wa neurotransmitter serotonin kwenye ubongo!serotonin ndio neurotransmitter inayotupa furaha.Njia mojawapo ya kuepuka tatizo hili ni kujikeep busy jaribu kujichanganya na marafiki usipendelee kuwa peke yako muda mrefu!Ikishindikana nenda hospitali unahitaji antidepressants!