JF Dar-Wing, White Party-TIMETABLE

JF Dar-Wing, White Party-TIMETABLE

Madame B

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2012
Posts
31,835
Reaction score
37,442
Habarini za Muda huu Member Wenzangu.
Ikiwa yamebaki Masaa tu kuelekea Saa 11 jioni kwa Ajili ya ile Party Yetu,
Hapa Napenda Nitoe Ratiba kamili ya Yatakayojili Pale Kebby's Hotel.

5:00-6:00pm
Wana CC kuingia Ukumbini.

6:00-6:15pm
Mgeni/Wageni rasmi kuingia Ukumbini.

6:15-7:00pm
Kufungua rasmi Party yetu kwa kufungua Shampein na kugonga Cheerz kwa member wote pamoja na Mgeni/Wageni rasmi.

7:00-7:45pm
Utambulisho kwa Memberz wote,pamoja na kumfahamu Mgeni/Wageni rasmi.

7:45-8:15pm
Maneno Machache toka kwa Mgeni/Wageni rasmi.

8:15-9:00pm
Chakula kwa Wote.

9:00-9:30pm
Chit Chta Talk Talk

9:30-10:00pm
Maneno machache toka kwa Waandaaji

10:00-10:15pm
Mgeni/Wageni rasmi kufungua Muziki.

10:20-Majogoo/am
Dancing, Chitchatting, Enjoying etc
.

NB:
1. Sisi ni Binadamu,penye mapungufu mtusamehe.

2. Halafu kama kuna ambavyo vitajitokeza tutawataarifu.

3. Kumbukeni Pale kwenye Garden kuna Live Band,hvo After All unaweza kwenda cheza kidogo.

4. Mnasisitiziwa kuwahi jamani.

5. KARIBUNI NYOTE.

Kwa Wale woote ambao Mtakuja kwenye Hii Party,P'se Nendeni kwenye PM zenu kuna ID tumewapa za Kuingilia

Updates:
JAMANI MEMBERZ AMBAO MMEPOKEA HIZO ID Kule PM HAKIKISHA HUISAHAU,KWANI NDIO KIINGILIO CHAKO
 
Ahsante Madame B kwa ratiba. Hii kitu lazima nizamie si mmekataa kupokea kiingilio getini!? Itabidi nijikumbushe enzi zangu za kuzamia minuso.
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nichukue ID moja ya mtu aliyechangia, nikifika mlangoni najidai mimi ndo yeye!!!
 
Ngoja nichukue ID moja ya mtu aliyechangia, nikifika mlangoni najidai mimi ndo yeye!!!

Ninakufahamu vizuri Rejao usijidanganye kuchukua ID ya mtu mwingine nitakuumbua!

Vinginevyo ongea kwa herufi kubwa mapema kabisaaaaa!
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nichukue ID moja ya mtu aliyechangia, nikifika mlangoni najidai mimi ndo yeye!!!

Umechelewa dogo.
ID yako tuliyokupa PM ni ipi?
Ukiipatia kuitaja tutakuruhusu uingie.
 
Madame B , naweza toa mchangao leo na kuja?
manake wengine ni kama tulikuwa hatuamini amini
 
Last edited by a moderator:
Ninakufahamu vizuri Rejao usijidanganye kuchukua ID ya mtu mwingine nitakuumbua!

Vinginevyo ongea kwa herufi kubwa mapema kabisaaaaa!
Hahaha...hapa natafuta tu codes za kuingilia! Vp wewe na plan yako ya kuzamia. Do u think itafanya kazi?
 
Last edited by a moderator:
Oooh, kumbe kuna codes? Ngoja nianze kufungua PM za hao waliochangia!! Hapa ni mambo ya kuhack tu account za watu! Chezea Rejao wewe!!

Thubutu.
Kwani si ulipe?
Kwa nini ujipe adhabu ya Kujichomeka Rejao!
 
Last edited by a moderator:
Namba za simu za waliochangia zinajulikana, utaumbuka pua kubwa,

oooh, kumbe kuna codes? Ngoja nianze kufungua pm za hao waliochangia!! Hapa ni mambo ya kuhack tu account za watu! Chezea rejao wewe!!
 
Hahaha...hapa natafuta tu codes za kuingilia! Vp wewe na plan yako ya kuzamia. Do u think itafanya kazi?

Plan ya kuzamia haitangazwi hadharani. Tukikutana ukumbini ndio ntakufahamisha nimeingiaje.
 
Back
Top Bottom