Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
alinipiga ban ya mwilihapa invisible alikutandika ban ama aliiburuza ban? Kha!
alinipiga ban ya mwilihapa invisible alikutandika ban ama aliiburuza ban? Kha!
Hahaahaha. . .
Kumbe ehhhhh?
Na kweli 'hunijui, sikujui' ya nini kugandana?
Ntamlindia!!!
Lol...Maziwa ya Mgando anakumbukumbu kweliHahaahaha. . .
Kumbe ehhhhh?
Na kweli 'hunijui, sikujui' ya nini kugandana?
Ntamlindia!!!
Hahaha!!! Wewe nenda tu ila LOAFERS abaki..
Hahaha!!! Wewe nenda tu ila LOAFERS abaki..
Maana kila nikiwaza kuna mtu atamtaja, moyo unaruka najikuta namaliza kichane cha ndizi.
( Wewe ni wangu mahabuba. Nakupenda kiasi kwamba hata uji haupiti nikikukosa. Silali usiku kwa ajili yako. Nakuota kila siku. Nakupenda mahabuba wangu )
Ukisoma futa fasta au funika na wino mweusi wambea wasione)
Taratibu basi mbona unataka wambea wajae bana
(Kwenye mabano tena. Ni wewe tuu hakuna mwingine. Nakupenda kama pesa aise. Yaani ukikosekana najiona kama nimechalala mbaya. We ni wangu mahabuba)
Kwanza leo we jiandae lolote laweza kutokea...kesho bado nina konfemuMwenyewe nae kaboreka. . . ngoja nimrudishe kule afurahi. Sasa kesho inakuwaje?
ahahaaa kongosho banamaana kila nikiwaza kuna mtu atamtaja, moyo unaruka najikuta namaliza kichane cha ndizi.
Hahahaha!!! Atapewa maziwa ya mgando atulieMsumbufu huyoo unayetaka abaki, tutakukuta kariakoo unamuuza.
😛eep:
UJE UNIFANYIE HIIKwanza leo we jiandae lolote laweza kutokea...kesho bado nina konfemu
Hehehe! Mie mbona ngastuka toka kitambo sana, huyu mgeni sio Dena, mgeni gani anaingia chumbani kwa watu bila hodi.Mgeni mwenyeji huyo wewe
STUKA Source Memo
Ha ha ha ha kumuacha nilikwambia siwezi walahi vile hata unifanyeje. Mzima lakini umechange ID??
Kwanza...........kamata hii.........
![]()
halafu.........una accounnt benki kuu?? I am banking with them, kama huna, kafungue, itakuwa rahisi mimi kukufanyia transfer!!!
U know wara i mean!!
UJE UNIFANYIE HIIACHANA NA LIZY HANA LOLOTE HUYO![]()
Hujakwenda shule tu au unasoma saa ngapi
MWACHENI FIRIGISI WANGUHehehe! Mie mbona ngastuka toka kitambo sana, huyu mgeni sio Dena, mgeni gani anaingia chumbani kwa watu bila hodi.
nihamie kwako?mmmhhhh naanza kuona wivu
ahahaaa maziwa ya mgando bana
miss u sana