EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,108
Mi napita tu hapa, nimesahau miwani yangu home leo so hata kusoma siwezi kabisaaaaEeeh bana eehh.....
napenda kuchukua fursa hii kutambua uwepo wa pea ziliopo humu ndani.....
kutokana na uzi huu........https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/55860-couples-za-jf-ni-hizi.html....naona wengi wapo chali.....nikimaanaisha wameachwa/acha...fumania/fumaniwa na hata wengine ni wajane...
Well.....sio ishu....hebu tucheck hii...
1. Husninyo + Judgement (baada ya Uporoto kupigwa chini)....
2. Cantalisia + Rejao (hii ni baada ya kumkwapulia Smile).....
3. Taijike + Excellent (wapya hawa).....
4. Erickb52 + Amyner (kama #3)......
5. Mwali + Ivuga (japo Ivuga kamkimbia Mwali).....
6. RussianRoulette + Paw (mmmh)....
7. Preta + Mtu Chake (japo TANMO anataka kuvuruga)......
8. Sweetlady + Nitonye (ila Sweetlady anataka kuvunja ukwimya samweya)
9. Kaizer + AshaDii
10.
11.
Nani nimemuacha......