maziwa ya mgando
Senior Member
- Mar 29, 2012
- 167
- 37
Aliyekupa rukhsa ya kumquote my sweet husband ni nani?
HahahaaaaWe preta, sisi namba moja ndio best couple eeh?
Lol
Kumbe Sweetlady kaopoa mume wa mtu?
Haaa kwani Nitty alikuwa wa nani mwanzoni?
Dah
Asante maziwa mgando kwa kunitetea, Erick gonga like hapa badala yangu, mie wajua ni wa via mchina siku zote!nyie nanyi
mnataka kumrusha roho SL bure.
Nity mwenyewe alimlilia SL hadharani
huyo wa zamani mbona hakujitokeza?
Ntake radhi swahiba, nimemkwapua toka kwa nani???
Nilimkwapua toka kwa Amyner!Lol
Kumbe Sweetlady kaopoa mume wa mtu?
Haaa kwani Nitty alikuwa wa nani mwanzoni?
Dah
hehehehe! Unataka nimwage mchele kwenye vyuku wengi?
kalagha baho!
Chezeiya preta weye
anakuziba maskio
kuna tetezi mtaa wa chit chat kuwa kahongwa haria na mmeo.
Kaulize kwa mshona viatu Rejao
ana taarifa zao zoote.
Lol
Kumbe Sweetlady kaopoa mume wa mtu?
Haaa kwani Nitty alikuwa wa nani mwanzoni?
Dah
weee mme wangu hawezi kufanya hivyo
Hahahaaaa
Couple bora ni namba 4 kwa kuwa hatuna kashfa yoyote kama zingine.....Mara kakwapua....mara kaiba wa mtu...Lol
haya bana, siku akikuleteeni mlee mimba yake, usiseme hatukuambia.
Lol
Kumbe Sweetlady kaopoa mume wa mtu?
Haaa kwani Nitty alikuwa wa nani mwanzoni?
Dah
Mtoa mada, umeainisha Canta alimkwapua Rejao,
nimeanza kuamini kwani wote hawatia maguu kwenye Uzi huu.
Iweje kutwa nzima Canta asiijibu hii tuhuma?
Mkupuliwa na mkupuaji wote dwiii, wamekula kobis .
Mwambie atuache, tena akome kuingilia yasiyomuhusu.Huko mi simo halafu b52 achana na haya maneno
Hehehe! Inaumae?kuna skendo hapa kutoka kwa maziwa mtindi, naomba ufafanuzi wa kueleweka kabla sijahama nyumba.
Mwaga!.. Ole wako usipomwaga!hehehehe! Unataka nimwage mchele kwenye vyuku wengi?
hehehehe! Unataka nimwage mchele kwenye vyuku wengi?
yaani nilikuwa sijui,nimewekeza sana pale,RAV4,nyumba tegeta,wadogo zake nimepeleka ulaya.....we acha tu,hapa ni maumivu makali,poa lakini yote maisha.
Wamekutana wote mcharuko, aliyekwambia Bishanga katulia ni nani?