Wadau mimi ni mgeni humu jamvini hivyo mnisamehe kama mada hii imejirudia. Nashauri mods watuandalie shindano la uandishi wa vision statement ya nchi yetu kwa miaka 30 ijayo. How to go about, wataalamu humu jamvini watusaidie ila napendekeza iwe kwa njia ya kupigiwa kura. The winning vision statement itatusaidia kuongoza mijadala inayohusu maendeleo ya nchi yetu kama reference point